JF tutakuchosha wote njaa tunawatetea wamasai wa ngorongoro wenyewe hatuna makazi ya kueleweka 🀣🀣🀣🀣
 
Sifanyi comedy niko serious. Majalali wanajua hizi bei. Nyie sijui mnaishi wapi yani mnashangaa bei kiasi hiki πŸ˜€
 
Kiwanja kinauzwa.
Mahali: Chang'ombe, Temeke karibu na DUCE.
Ukubwa: Square Feet 5900=(SQM 548)
Bei: Milioni 500. Maongezi yanaruhusiwa.

Mawasiliano:
0784 829565
0767 833345
@prathlimited
 
Duce maeneo gani nyuma ya ilebyard au kwenye lile golofa au Taifa bar kwa nyuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…