Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Lini sasa twende tukakione, si utapunguza kidogo radhiya.....Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini sasa twende tukakione, si utapunguza kidogo radhiya.....Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Bei zako huwa zinachekesha mpaka nahisi unafanyaga comedy😂Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Nkimuonaga radhiya nakumbuka ule mjengo wa vingunguti.....Bei zako huwa zinachekesha mpaka nahisi unafanyaga comedy😂
Subiri niutafute ule mjengo! Najua bado haujapata mteja😂Nkimuonaga radhiya nakumbuka ule mjengo wa vingunguti.....
radhiya mimi naitaka ile custom warehuse pale karibu na peninsula plaza bei inasimamia ngapi 😁Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Nipo nipo mikuu sema fanya juu chini isiwe weekend maana si unajua nikiye nae Weeknd hataki nitoke mkuu🙌🙌🙏
Nusu umeze ulimi 😂😂😂😂🤣🤣
Hiyo bei...
Astaghafirullah
only serious buyer ndo anapelekwa site visit. Wewe sio serious buyer unaleta utaniLini sasa twende tukakione, si utapunguza kidogo radhiya.....
Ali yupi boss? Niunganishe nae kama inawezekana nimshirikishe kama atakuwa interested au unipe namba yake..Kimfikie Ali hiki anakichukua fasta
Ali K for real si unamjua?Ali yupi boss? Niunganishe nae kama inawezekana nimshirikishe kama atakuwa interested au unipe namba yake..