PM Kasimu Majaliwa ukimya wako, Huku Dotto na Makonda wakiendelea kuliinua Taifa tukueleweje?

PM Kasimu Majaliwa ukimya wako, Huku Dotto na Makonda wakiendelea kuliinua Taifa tukueleweje?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Sitaki kuamini kwamba Uchapa kazi wako ulitokana na Msukumo wa Hayati JPM .

Sitaki Kuamini kwamba wale wanaosema wewe sio kiongozi sahihi, wako sahihi.

Sitaki kuamini kwamba na wewe ni sehemu ya ile timu Upigaji .

Sitaki kuamini kwamba, ni haki hadi wakurugenzi wanakudharau, hivi Makonda anapata nguvu ya kuwaenyesha hawa majizi kukushinda wewe Waziri Mkuu?.


Dotto, Naibu wako anafanya kazi, kweli Naibu naye anakusomesha namba?.

Mimi ni Mfuasi wako wa damudamu , ila tafadhali sana, mwaka mmoja na miezi ilobaki, fanya kitu tukukumbuke.
 
Majaliwa ndo mtu serious aliyematch na Magu kiutendaji.

Majaliwa aungwe mkono,

Kijana na wengine ni waigizaji.
 
Huyooo naye n fisadi sana sema ana play very bright....kuna mkoa npo kuna kampan mojaa kubwa sana....amempa mwanazengo ila n yake huyoo katelephone....
 
Sitaki kuamin kwamba Uchapa kazi wako ulitokana na Msukumo wa Hayati JPM .

Sitaki Kuamin kwamba wale wanaosema wewe sio kiongozi sahihi, wako sahihi.


Sitaki kuamini kwamba Nawewe ni sehem ya ile timu Upigaji .

Sitaki kuamini kwamba , ni haki Hadi wakurugenzi wanakudharau,, Hivi Makonda anapata nguvu ya Kuwaenyesha Hawa majizi, kukushinda wewe Waziri Mkuu??.


Dotto, Naibu wako ,anafanya kazi, kweli Naibu naye anakusomesha namba?.


Mimi ni Mfuasi wako wa damudamu , ila tafadhali sana, Mwaka Mmoja na miezi ilobaki, Fanya kitu tukukumbuke.
Huyo unayemshushia lawama yupo wapi kwa sasa ?
 
Back
Top Bottom