Wadada embu nichekini PM nione kama meseji zenu zitafika ili nijue kama tatzo limetatulika
Mkuu mi naanzaga na kuomba namba na msg inayofuata namthibitishia,yaani 5GHKI4 Imethibitishwa Tsh..imetumwa kwa ...then kinachofuata ni msg tu zinakimbizana,pm kunawaka motooMkuu embu nipe maujuzi wewe huwa unafanyaje hadi wanakujibu
[emoji2] inaonekana hujachangia kodi za kununua dreamliner weweMkuu mi naanzaga na kuomba namba na msg inayofuata namthibitishia,yaani 5GHKI4 Imethibitishwa Tsh..imetumwa kwa ...then kinachofuata ni msg tu zinakimbizana,pm kunawaka motoo
Hahahaaa. Lol.Mkuu nimejaribu kwako ila nahis PM yang imezidisha matatizo, inaniletea msg: You may not start convo with Hajar
Nilijua hili tatizo ninalo tu mwenyewe.Fanya utucheki kwanza, tujue kama msg zinatoka .😉
Nilijua hili tatizo ninalo tu mwenyewe.Fanya utucheki kwanza, tujue kama msg zinatoka .😉
Nilijua hili tatizo ninalo tu mwenyewe.