Jiandae kisaikolojia [emoji3][emoji3][emoji3]Lazima watakuja na povu la kutosha kabsa
Ayaaaaah!Wanawake weak wanaogopa saaana kutongozwa. Ukiona unaogopa kutongozwa ujue wewe ni beans ya Mbeya maji Mara moja unaivaa *****
kabisa ndugu mbona faiza foxy halalamikagi???ukiona unaletewa pm nyingi, kaa chini ujitafakari vizuri. huenda tatizo ni wewe na mada unazo post.
bidhaa za bei rahisi ndio zina wateja wengi......