kakoyo092
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 721
- 890
Huyo kwenye avatar ni ww au....Aliyekwambia jf kuna muaji nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kwenye avatar ni ww au....Aliyekwambia jf kuna muaji nani?
STOL tu kula kwenu..Goood!!
Hata ukimpa mwanajf k kwa one night show, kwani ataondoka nayo bhana!!
Wewe Nimekupenda bure!!
mbona ukiingia love connet unakuta nyuzi za wadada wanatafuta waume???Aliyekwambia jf kuna muaji nani?
Najua. Ila yeye hataki kutongozwa.haiba ya mwanamke ni kutongozwa
sasa ablock ili iweje???
pia pm kuna vitu vingi tu vya kuongea ukiacha kutongozana
Post sent using JamiiForums mobile app
Hivi watu/wanaume waliyoko JF ndo wapi hao, si ni hao hao waliyoko mtaani kwako sasa unavyosema haman muoaji nakushangaa sana ujue!!!!Aliyekwambia jf kuna muaji nani?
Kumbe upo mkuuHuenda hicho ndicho kilichowaleta JF
Leo nala kwako!!STOL tu kula kwenu..
hahahaahaNa wadada wa humu walivyokuwa wanajua kutumia fursa hawaachi kitu
Lipia tangazoHahaha me ukipm nakujibu tu kwani unaondoka Nayoo...
HeeeeHeeeeLipia tangazo
Tena wanaume wengi wa JF wale wanaojielewa huwa ni wasikivu sana.Kila mtu ana sababu za kuwepo hapa, sio kila mtu yupo hapa ili aingie huko pm kutongoza wanawake. Lakini pia, kama mtu kaamua kuja pm sio dhambi, just be nice to him, kama haupo interested mwambie humbly na hutoona akikusumbua.
Domo zege tena!mtu kishakuja kufunguka pm udomo zege huo unatokea wapi!Hiyo ni dhana yako tu,wengine hatuna hata mpango na madomo zege
Naja pm bibieHahaha me ukipm nakujibu tu kwani unaondoka Nayoo...
Kumbe upo mkuu
Post sent using JamiiForums mobile app
Kabisaa mi Nina marafiki wengi tu kupitia pmTena wanaume wengi wa JF wale wanaojielewa huwa ni wasikivu sana.
Jesus is my saviour and a friend