Pm za wadada ni kipimo cho utulivu wetu!

Pm za wadada ni kipimo cho utulivu wetu!

Na mimi napenda kwelihiyo... Kwani kuna tatizo!?
 
Mie sija wahi kutongoza Mleta mada yoyote.
Na hata ninao wa quote... sijawahi piga sound, so don't generalized.
 
Sidhani kama ni wote tunaokuja PM.Unaanza vipi kumtongoza mtu ambae hata humjui wala hujawahi ona sura yake?Kumbukeni kuna ndugu na jamaa humu ila wana ID undervover.Mtakuja tongozana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
nimetokea wengi sana humu ila sijui hata wewe nlikusahauje na unaweza ukawa mtam kuliko wao ngoja nifikirie nakuingiaje toto angu
 
Kama mwanamke huo uzi unaohurusha MMU unakuwa unategemea nini haswa kama unaongelea kuwa mchuma... si lazima unawakaribisha au?
 
Sawa. .....

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanaume hapendi K, kwanza mwanaume yeyote akikutokezea K ndo kitu cha kwanza kufikiri. Mengine yote hufuata, either ndoa au kusepa

Jesus is my saviour and a friend
Good! Mwanamke aliyefundwa utamjua kwa majibu yake, siyo Mwanamke ana majibu magumu kama kokoto za Msolwa.
 
Basi mngekuwaga ma bikra hapo tungewaheshimu

wengine tunaoa makahaba wastaafu
halafu wanajifanya hawapendi kutongozwa ehhh kweli wanawake mna shida saaana tena saaana maana hamjitambui bado mko medieval period
 
Kama mwanamke huo uzi unaohurusha MMU unakuwa unategemea nini haswa kama unaongelea kuwa mchuma... si lazima unawakaribisha au?
Jifunze kuandika ndipo uje...

Unaohurusha ndiyo nini?
 
Back
Top Bottom