Pm za wadada ni kipimo cho utulivu wetu!

Pm za wadada ni kipimo cho utulivu wetu!

Hii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
We si ulishaweka tangazo la kutafuta mchumba humu!? kwa nini unakereka wanaume kwenda kutiririka PM. Pia ulisema una masters, ingawa kiingereza ulichoandika huko, ni taabu tupu..
 
Basi mngekuwaga ma bikra hapo tungewaheshimu

wengine tunaoa makahaba wastaafu
halafu wanajifanya hawapendi kutongozwa ehhh kweli wanawake mna shida saaana tena saaana maana hamjitambui bado mko medieval period
Dont generalize mkuu. Wengine tunajitambua

Jesus is my saviour and a friend
 
Wanawake weak wanaogopa saaana kutongozwa. Ukiona unaogopa kutongozwa ujue wewe ni beans ya Mbeya maji Mara moja unaivaa *****
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom