Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo kwako na kwa hao wenzako angalia mada zako unazotuma isije zikawa zinawachochea watongozajiHii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
Hahahaa....mkuu heshima yako aise. Inaonekana ni mwanamke uliye stable sana na hubabaishwi kijingajinga.Tena ulimbukeni ....
We utatangazaje public eti mtu aliyekutongoza PM ? Kwani kutongozwa ajabu?
Ukiona mwanamke wa hivyo ujue anatokewa kwa manati ( Mara moja kwa miaka 3)
Post sent using JamiiForums mobile app
Zikoje mkuu? Nacheka tu hapa
Jesus is my saviour and a friend
Dont generalize mkuu. Wengine tunajitambua
Jesus is my saviour and a friend
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanawake bana sijui mnataka nn, mkiwa hamtongozwi mnalalamika ooh mm sitongozwi sijui ninagundu gani, ukitongozwa unaanza tena kulalamika ooh wanaume wapo kwa ajili ya k, hebu eleza unataka nn sasa, sema sasa hiviHii ni kwasababu kila mdada anapotupia Uzi kwenye jukwaa la MMU lazima akutane meseji za mtongozo pm zaidi ya moja.
Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu.
Hakuna aliyenificha. Majukumu tu mkuuJibu zuri sana. Ila ulifichwa na nani mdada
Thank you mkuuYour always smart...bravo!!
Ila kutongoza au kutongozwa sio dhambi. Ni haki ya mtongozwa kusema yes au no mambo ingine inafuatwa"...Kuna baadhi ya wanaume wapo hapa kwaajili ya kuvizia k tu."
Hapo sawa, ungesema wote ningekushangaa kweli aseeh
Kusema ukweli mm sijawah pinga mtongozo.Sio wote sawa nakubali
Ila nachoshangaa badala ya kumuelewesheni huyo mwenzenu mnabaki kutunanga...
sasa utaki kutongozwa si mkae nyinyi wenyewe wala hamtatongozwa ... ila kinachowasumbua mnapenda tuwasaidie kwenye shida zenu as if na sisi hatutaki msaada wenu. Basi muwe kama wanaume i.e tafuteni pesa kama sisi, tatueni changamoto zenu wenyewe msitushirikishe, na msitutegee ata kwa msaada wowote hapo ata mtongozo tutaogopa
Vizuri na I hope u mzima na unaendelea na majukumu ya kila sikuHakuna aliyenificha. Majukumu tu mkuu
Jesus is my saviour and a friend
Vizuri na I hope u mzima na unaendelea na majukumu ya kila sikuHakuna aliyenificha. Majukumu tu mkuu
Jesus is my saviour and a friend
Mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida sana na inashangaza mtoa mada kuona ni kitu cha ajabuIla kutongoza au kutongozwa sio dhambi. Ni haki ya mtongozwa kusema yes au no mambo ingine inafuatwa
OVA
Jesus is my saviour and a friend
Yes mkuu, mkuu nimependa signature yakoVizuri na I hope u mzima na unaendelea na majukumu ya kila siku
Jesus is my friend and saviour