po haja ya kuregulate na vwango vya kunga chuo kkuu

mdau kbt

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
401
Reaction score
166
Kama serikali imeamua kurekebisha grading system kutoka O. level hadi form six basi io haja pia ya kuweka mpango mpya wa kudahili watu kuiunga na vyuo vikuu.
NİNİ MCHANGO WAKO MDAU KATİKA HİLİ
 
yeah kuwe na mifumo miwili ile ya zamani (old grading system ) kwa ajili ya wale waliosoma enzi hizo na mfumo mpya (new grading system) kwa ajili ya hawa wanaomaliza hivi karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…