Pochi ya binti wa Marekani VS Pochi ya binti wa Tanzania

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila siku wao wanasafir sijui....
 
Umeonaeee. Ila wameongeza chumvi bana
Mbona mnakwepa message(muache kutupiga mizinga)..!

Demu yeye akienda kuliwa anachojua mchongo wake ni papuchi tuu kwa siye hatuchangii msaliboko[emoji125][emoji125]

Ukihoji kisingizio eti Mungu alisema tutakula kwa jasho poah mbona kutawaliwa mnakupinga ajasema hilo pia??
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Haziwagi na vitu vyote hivyo bana.
Hiyo imefanyiwa edit tu mnabeba vingi mno hadi wengine sindano na uzi nyie cherehani
 
n



nahakika hujamwelewa mtoa mada.. haihusu miznga hii! soma tena
Anaelezea nyie kuomba pesa hovyo(utegemezi) uvivu(kujiremba kupoteza muda), poor thinking(mnawaza upuuzi/vitu vilivyomo) na umasikini(pesa inaweza tatua mengi siyo lazima ubebe mengi)
 
Umesahau U**e bandia!! [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…