Dadykiller
Senior Member
- Apr 24, 2024
- 198
- 347
Basi ka analeta utomaso weka kweny bodaboda peleka mpk sehem uliokuwa unacheze muaminishe kwa kumpulizia usoni ili siku nyingine akili imkae...tofaut na hapo ukitaka kwenda kucheza Hilo PT utoke na unga wa Dona magetoniKiufupi sina muda mrefu na yeye, pia sipo nae kila siku
Udhaifu upo wapi katika swala hili MkuuVijana wa siku hizi wadhaifu sana
PT ni mchezo pendwa na siwezi kuacha, ila siku tutapita sehemu na akitaka nitamuonesha aione Poda kwenye PTBasi ka analeta utomaso weka kweny bodaboda peleka mpk sehem uliokuwa unacheze muaminishe kwa kumpulizia usoni ili siku nyingine akili imkae...tofaut na hapo ukitaka kwenda kucheza Hilo PT utoke na unga wa Dona magetoni
Hasa huyo alikuhug atakuwa wale watoto wadogo, Infants au toddler maana hao wananukia mapoda kuweza kumuachia mtu, Wanawake wana assumptions za ajabu🤣🤣Anasema eti nimepewa hug mpaka harufu imebaki 😂
YeahKujieleza sana dalili ya udhaifu. Man up.
Mpeleke kwenye pooltable mkae saa mbili kisha ondoka usiongee nae chochote ,endelea na maishaUsiku huu wakati narejea magetoni, shemeji yenu amecharuka na hataki kuelewa lolote, anadai nimetoka kukutana na mwanamke mwingine.
Sababu ni harufu ya Poda ambayo imebaki mwilini mwangu, kweli sijakataa nanukia Poda.
Lakini Kama mnavyojua mchezo wa pool table, Ni lazima utumie Poda ili kurahisisha fimbo kuteleza mkononi, na hiyo ndyo sababu ya kubaki na harufu kali ya Poda.
Najitahidi kuzima huu moto lakini naona bado haiwezekani, leo nimeyatimba.......
Siku nitampelekaMpeleke kwenye pooltable mkae saa mbili kisha ondoka usiongee nae chochote ,endelea na maisha
HapanaPiga chini huyo
Sawa, lakini Sometimes malumbano ndyo hunogesha mahusianoTabia ya kujieleza Sana kwenye mahusiano niliacha kitambo. Kama nimekuambia kitu usipotaka kukiamini ni juu yako sasa.
Na hizi Poda hata ukioga bado harufu inabaki, sasa tumelala anasema eti "sogea huko na mapoda yako" yani ni manyanyaso usiku mzimaHasa huyo alikuhug atakuwa wale watoto wadogo, Infants au toddler maana hao wananukia mapoda kuweza kumuachia mtu, Wanawake wana assumptions za ajabu🤣🤣
Najibu lakini na nacheka kimya kimya, nafurahi kuona ana wasiwasi juu yanguSi kila jambo la kujibu. Kula piga kimya lala.
Sio kujieleza, ila nafurahi anapokuwa na wasiwasi juu yangu, akikasirika nambembeleza, akinuna najitahidi kurejesha tabasamu usoni mwakePunguza kujielezea mwanetu, kadri unavyozidi kumuamuaminisha ndio anazidi kukuona muongo acha aamini anavyoamini piga kimya.
Hakuna sehemu nimesema naomba ushauriYani umesha chukua hatua ndo unakuja kuomba ushauri...
Sawa mkuuSio kujieleza, ila nafurahi anapokuwa na wasiwasi juu yangu, akikasirika nambembeleza, akinuna najitahidi kurejesha tabasamu usoni mwake