Poda imeniponza, amegoma kunielewa

Basi ka analeta utomaso weka kweny bodaboda peleka mpk sehem uliokuwa unacheze muaminishe kwa kumpulizia usoni ili siku nyingine akili imkae...tofaut na hapo ukitaka kwenda kucheza Hilo PT utoke na unga wa Dona magetoni
PT ni mchezo pendwa na siwezi kuacha, ila siku tutapita sehemu na akitaka nitamuonesha aione Poda kwenye PT
 
Mpeleke kwenye pooltable mkae saa mbili kisha ondoka usiongee nae chochote ,endelea na maisha
 
Hasa huyo alikuhug atakuwa wale watoto wadogo, Infants au toddler maana hao wananukia mapoda kuweza kumuachia mtu, Wanawake wana assumptions za ajabu🤣🤣
Na hizi Poda hata ukioga bado harufu inabaki, sasa tumelala anasema eti "sogea huko na mapoda yako" yani ni manyanyaso usiku mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…