Poda imeniponza, amegoma kunielewa

Poda imeniponza, amegoma kunielewa

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Usiku huu wakati narejea magetoni, mwenzangu amecharuka na hataki kuelewa lolote, anadai nimetoka kukutana na mwanamke mwingine.

Sababu ni harufu ya Poda ambayo imebaki mwilini mwangu, kweli sijakataa nanukia Poda.

Lakini Kama mnavyojua mchezo wa pool table, Ni lazima utumie Poda ili kurahisisha fimbo kuteleza mkononi, na hiyo ndyo sababu ya kubaki na harufu kali ya Poda.

Najitahidi kuzima huu moto lakini naona bado haiwezekani, leo nimeyatimba.......
 
Jf katika kitu walichokukosea ni kuruhusu most updated threads zionekane kwanza, enzi zile ukifungua jf direct unakutana na majukwaa unachagua la kuingia, Kuna majukwaa nilikua naweza kukaa hata mwaka sijafungua, mahusiano mapenz na Nini sijui, na lile la chit chat... Sijawahi kuwaza kuyafungua sometimes ni kuepuka upuuzi kama huu
 
Jf katika kitu walichokukosea ni kuruhusu most updated threads zionekane kwanza, enzi zile ukifungua jf direct unakutana na majukwaa unachagua la kuingia, Kuna majukwaa nilikua naweza kukaa hata mwaka sijafungua, mahusiano mapenz na Nini sijui, na lile la chit chat... Sijawahi kuwaza kuyafungua sometimes ni kuepuka upuuzi kama huu
Sawa Mr mutuu, kama unaona huu ni upuzi haukuwa na haja ya kuandika maneno yote hayo, ungepita tu
 
Swali...ni kwamba Leo tu ndo umecheza hyo PT?na kama hapana je hizo siku nyingine ulizokuwa una cheza hukuwa unatumia hyo poda?na kama ndio ulikuwa unatumia ilikuwa haina harufu au wamebadilisha product?...sasa hapo ndo utatumia kama rejea kusolve huo msala...tofaut na hapo mweleze tu Leo ulikuwa away ground na hutorudia kosa
 
Swali...ni kwamba Leo tu ndo umecheza hyo PT?na kama hapana je hizo siku nyingine ulizokuwa una cheza hukuwa unatumia hyo poda?na kama ndio ulikuwa unatumia ilikuwa haina harufu au wamebadilisha product?...sasa hapo ndo utatumia kama rejea kusolve huo msala...tofaut na hapo mweleze tu Leo ulikuwa away ground na hutorudia kosa
Kiufupi sina muda mrefu na yeye, pia sipo nae kila siku
 
Back
Top Bottom