brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Ebwana wadau kuna duuh fulani , nilimtokea siku za nyuma alikubali ila alisema hanipi mzigo mpaka Pogba ashinde goli, ebwanaa eeeeeh leo kama zali vileee kitu wamo Pogba katupia mbona niliwehuka kwa kweli nikasema daah sijui huyu mtoto ahadi yake ilikuwap kweli , nikawa nawaza sana
Mungu si Athumani bhana baada ya mpira kuisha mtoto huyo kanirukia hewani , nikachonga naye nikampanga vizuri wapi tukutane mtoto wala hakutia ngumu ,nikakutana naye piga show kwa saaaana sasa najiona mwepesiii
Daaaah pongezi kwako bwana Pogba
Mungu si Athumani bhana baada ya mpira kuisha mtoto huyo kanirukia hewani , nikachonga naye nikampanga vizuri wapi tukutane mtoto wala hakutia ngumu ,nikakutana naye piga show kwa saaaana sasa najiona mwepesiii
Daaaah pongezi kwako bwana Pogba