GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
Pogba anataka kurejea Old Trafford:
Kufuatia mgogoro unaoikumba timu ya Juventus,baada ya kupokonywa alama 15 na kushuka hadi nafasi ya 13 kwenye msimamo wa Serie A,sasa kiungo Paul Labile Pogba anataka kuondoka klabuni hapo..
Pogba ambaye hajaanza mchezo wowote tangia kurejea kwake tena akitokea Manchester United anasema hafurahishwi na mazingira Juve.
Aidha kulingana na watu wake wa karibu,Pogba angependezwa kurejea tena Old Trafford na kufanya kazi chini ya Ten Hag.
Je ungependa kumwona Pogba akiwa na uzi wa United tena?
Kufuatia mgogoro unaoikumba timu ya Juventus,baada ya kupokonywa alama 15 na kushuka hadi nafasi ya 13 kwenye msimamo wa Serie A,sasa kiungo Paul Labile Pogba anataka kuondoka klabuni hapo..
Pogba ambaye hajaanza mchezo wowote tangia kurejea kwake tena akitokea Manchester United anasema hafurahishwi na mazingira Juve.
Aidha kulingana na watu wake wa karibu,Pogba angependezwa kurejea tena Old Trafford na kufanya kazi chini ya Ten Hag.
Je ungependa kumwona Pogba akiwa na uzi wa United tena?