Pogba ni mtumishi hewa


Gang Chomba atasuuzika sana na maneno yako haya yenye ukweli
Leo ndio nimejua kwa nini Guardiola hataki wachezaji wazito
Jose sio tactician mzuri na imedhihirika leo
 
Duuuu! Tusio fuatilia habari za mipira tukazani huyo pogba hayupo Man Utd Ila analipwa mshahara, kumbe hupo bwana. Sasa nawashauri mwandike "POGBA AMEGUSHI VYETI VYA USTRIKER ".at least itasound.
 
Dah! We jamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duuuu! Tusio fuatilia habari za mipira tukazani huyo pogba hayupo Man Utd Ila analipwa mshahara, kumbe hupo bwana. Sasa nawashauri mwandike "POGBA AMEGUSHI VYETI VYA USTRIKER ".at least itasound.

hyo pogba sio striker,ni mildfielder.kwel ww sio mfuatiliaj wa mpira.
 
Pogba ni mzur timu ikiwa inashambulia sasa leo walikua wanashambuliwa sana ndio maana hakuonekana.....
 
Duuuu! Tusio fuatilia habari za mipira tukazani huyo pogba hayupo Man Utd Ila analipwa mshahara, kumbe hupo bwana. Sasa nawashauri mwandike "POGBA AMEGUSHI VYETI VYA USTRIKER ".at least itasound.

Mkuu Pogba ni kiungo na si mshambuliaji
 
kosa alilofanya morinho leo kuweka kikosi tofauti na alichoanza nacho mechi 3 zilizopita huku akijua anaenda kucheza na watu wanaomiliki mpira
 
Nakubaliana na ww mkuu, pogba akae 6 af herera 8, fellain mzito mno, halaf smalling na baily pale nyuma
 
Nakubaliana na ww mkuu, pogba akae 6 af herera 8, fellain mzito mno, halaf smalling na baily pale nyuma
Yap, Pogba alikuwa mzuri sana kule Juve alipocheza namba 10 mbele ya akina Marchisio. Hata Morgan anaweza kucheza hiyo namba 6, Pogba akasogea nyuma ya Ibra ... Rooney hana kasi tena, apumzike, abaki kusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…