Pogba ni mtumishi hewa

Pogba ni mtumishi hewa

Kumbuka Man City walikuwa na viungo wengi wanaocheza karibu karibu.

Wakati Man U walikuwa na viungo wachache wanaocheza mbali mbali. Angalia Space iliyokuwepo kati ya Fellaini, Pogba, Micki, Lingard na Rooney utaelewa.

Wenzake walim isolate peke yake kati ya dimba, ikawa inabidi alazimike ku drible ili kuwafikia. Hiyo ilimfanya kuchoka mapema.

Mpira ni ushirikiano, ndicho walichotuonyesha City leo. Huwezi kufanikiwa kwa kutumia mchezaji mmoja mmoja.

At least Herrera aliongeza balance pale katikati kabla ya Pep kuua game kwa kumuongeza Fernando.

Mou anapaswa aanze kumuamini Herrera ili kumsaidia Pogba, Fellaini ni mrefu, ana maguvu, lakini hawezi ku cover space kubwa kusaidia wenzake.

Pia, ni muda muafaka kumchezesha Smalling kwa sababu Blind ameanza kurudia makosa ya last season, si mzuri kukaba (timu ikiwa under pressure).

Pogba "The Slow but Sure man"

Still nina Imani, ndo game zinaanza.

Kucheza karibu karibu ndio nin?sijaona hiyo isolation unayoisema yeye kama box to box midfielder kazi yake ni kukaba at the same time ku initiate mashambulizi hizo kazi zilimshinda
Sijaelewa hapo una maana herera amreplace Felain?hiv unajua tofaut ya DM na AM?
 
Barcelona imehamia uingereza au? Maana si kwa mipasi ile yaan kampa kampa tena [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amadoli man city n noma. Wamepiga pasi nyingi sana
 
Yap, Pogba alikuwa mzuri sana kule Juve alipocheza namba 10 mbele ya akina Marchisio. Hata Morgan anaweza kucheza hiyo namba 6, Pogba akasogea nyuma ya Ibra ... Rooney hana kasi tena, apumzike, abaki kusaidia.
Nakubaliana na wewe mkuu. Pogba acheze namba 10
 
Geometry kaka hao man united wamechemsha. Hawakosagi sababu. Kama wenzao wamecheza pasi fupi fupi nao kwann wasicheze pasi fupi? Kiukweli Pogba kapotezwa vbaya nafasi ya kiungo
 
  • Thanks
Reactions: AHA
1473573810408.jpg
 
Barcelona imehamia uingereza au? Maana si kwa mipasi ile yaan kampa kampa tena [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahah man u wakiwa na pasi 103 city walikuwa na 197 mkononi! Tofauti ilikuwa kuwa sana na city walikuwa na chances kibao ambazo hawakuzitumia vizuri! Walahi Sergio Kun Aguero angekuepo man u wangechapwa almost 6-1!! Mourinho leo tungesikia anaenda kuinoa Tp mazembe! Angetimuliwa ulaya!
 
Back
Top Bottom