mchezaji bora EPL KDB kachukua nadhani pogback hamna kituSema nn kdb kamzidi pogba acha kuongea kwa mihemko toa facts.
Mimi nakwambia pogba misimu miwili iliopita kamzidi debryune magoli na assists. Kamzidi attempred assists kamzidi goal and assists per minute. Pogba alishaingia kwenye kikosi bora cha fifa debryune hajawai.
Wewe sema sasa debryune kamzidi nn pogba?
Sema nn kdb kamzidi pogba acha kuongea kwa mihemko toa facts.
Mimi nakwambia pogba misimu miwili iliopita kamzidi debryune magoli na assists. Kamzidi attempred assists kamzidi goal and assists per minute. Pogba alishaingia kwenye kikosi bora cha fifa debryune hajawai.
Wewe sema sasa debryune kamzidi nn pogba?
Hapa Tufunge Speaker Kabisainatosha mkuu au uongeze sauti kidogo?
Fernando Llorente naye ana medali yake ya World Cuphiyo hata pepe reina anayo
Fernando Llorente naye ana medali yake ya World Cup
Sasa nani kakwambia ligi imeisha? Subiri msimu ukiisha uje tena na stats hizihizi.
We jamaa its either hujui mpira au hufatilii mpira maana unaongea uongo mtupu.mchezaji bora EPL KDB kachukua nadhani pogback hamna kitu
We jamaa its either hujui mpira au hufatilii mpira maana unaongea uongo mtupu.
Usifanye kila mtu humu ndani ni punguani.
Ni mwaka gani huo debryune kabeba epl player of the season??
Nimekuja kugundua nabishana na watu hata mpira hamfatilii.
Narudia tena nitajie kitu kdb alichomzidi pogba kwa facts
pogba wa juve je? hahahaalikuwa anapoteza mipira tu mbele ya horjberg week iliyopita KDB wa wolrfusburg umemuona?
nilikuwa nakuheshimu sana ila kwa hili la pogba nmekuona kama mwanamke wa Manchester United tuKDB msimu wake bora zaidi katika Career Yake ulikuwa ni wa 2017/18 ambapo uchezaji wa EPL kwa season hiyo alichukua Mo Salah.
2016/17 nadhani Player of the season alikuwa ni Harry Kane (I'm not sure If I'm right)
2018/19 KDB alikuwa injury
2019/20 ndiyo labda anaweza kigombania tena
acha kudanganya.Misimu ya 2017 -2018 na 2018-2019 pogba kampita debruyne total goals na assists kwenye ligi.
Umetumia kigezo gani kusema debruyne ni bora?
KDB kaachwa mbali sana na pogba huyu pogba hivi nyie mnamchukuliaje. Huyu ni mmoja ya viungo bora sana kwa wakati huu huwezi mfananisha na KDB hata statistics tu ukiangalia huyo sope wenu kaachwa mbali sana. So mjadala ufungwe hapa jibu ndo hilo
Sasa nani kakwambia ligi imeisha? Subiri msimu ukiisha uje tena na stats hizihizi.
Nikutaarifu tu sa hiv pogba anachezeshwa deep chini lakin bado ana assists 2 kdb now anachezeshwa free role city nk..all in all muda utasema na stats huwa hazidanganyi
nilikuwa nakuheshimu sana ila kwa hili la pogba nmekuona kama mwanamke wa Manchester United tu