bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ratiba zote mbili zimetoka Kombe la Shirikisho na Mabingwa ngazi ya vilabu Afrika.Yanga akitambulika kama Bingwa wa Tanzania na kuwekwa Kombe la Mabingwa na Simba akitambulika mshindi wa Azam Federation cup na kuwekwa Kombe la Shirikisho.
Simba alikata rufaa Fifa akidai yeye ndo bingwa huku akitaka point zake tatu dhidi ya Kagera Sugar zirudi ili wawe mabingwa na huku viongozi wao waliwapa moyo sana wapenzi wao kuwa timu yao ndio Bingwa.
Ila leo Caf wametegua kitendawili Je ni kwamba barua haikufika au?
Simba alikata rufaa Fifa akidai yeye ndo bingwa huku akitaka point zake tatu dhidi ya Kagera Sugar zirudi ili wawe mabingwa na huku viongozi wao waliwapa moyo sana wapenzi wao kuwa timu yao ndio Bingwa.
Ila leo Caf wametegua kitendawili Je ni kwamba barua haikufika au?