Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Darasa la kwanza hadi form six nimesoma kwenye mikoa mitatu ya hapo ila chuo nlienda kwingineToka hapo nenda nje ukatafute exposure bro.
Huwezi kuzaliwa hapo,usomee hapo then ukifa uzikwe hapo
Safi Sana mkuuDarasa la kwanza hadi form six nimesoma kwenye mikoa mitatu ya hapo ila chuo nlienda kwingine
Duh umezaliwa katikati ya pande mbili za dunia, ila huo ni mchanganyiko mzuri mno nadhani utakuwa na akili za kutosha za mambo yote.Mwizugukuru mgikuru Mimi mama yangu ni muhaya wa kamachumu Kagera Na baba yangu ni mchaga wa machame, Kilimanjaro kwa sadara..
Povu Zito sana hili...Nyuzi za kijinga na kifala
Waambie hao ndugu zako waache kulala na Binti zao wa kuwazaa
Shwaini
Ngacha
π π π Kaskazin ni kama Pwani ,Tanga na Dar hapa tyr cha Arusha kinafanya kazi yakeHii iko sana watu wa Bara bara huko.
Unajua kaskazini ni kama Pwani tu yaani Kama Tanga, Pwani, Dar.
Jipeleke lakeZone ukjua na hzo fikra zako ukakutane na wanaumeWakaskazini walevi, wanajifanya wahuni na wajuaji na Kila utakapo wakuta hata kama mtu mzima atajifanya msela mjanja mjuaji,
Kanda ya nyonyo washamba na sio wajua.
Hahahaha wanadai eti sisi ni wanafki πππ
Wala sio ubinafsi ndivyo ilitakiwa iwe .Wakaskazini wabinafsi sana yani waliomba uhuru wa maaeneo yao tu (CHUGA Land), Mkanda wa nyonyo (Mwalimu) akaomba uhuru wa watanganyika wote.
Nliskiaga Ile shule ya Lyamungo ilikuaga chuo zamaniWala sio ubinafsi ndivyo ilitakiwa iwe .View attachment 3072644
Umesusa au?Mwandishi ni Mchagga aliyejibatiza ukanda ya Ziwa. Kila mtu apende kwako tusipangiane wala kulinganishana
A'ranyia shindo' wakerera hiya'π€£Ngacha
Na Wabinafsi eti....Hahahaha wanadai eti sisi ni wanafki πππ
Ndio utajiri wenyewe ππNa Wabinafsi eti....
Hivi Ubinafsi ni kitu kibaya Wakwetu?π
Nyi shindo sha mbar'e kapsaA'ranyia shindo' wakerera hiya'π€£