Ndo akili zako zmefikia huku ?Hebu nipe idadi na research ilipofanyika kwamba Raisi Wa USA anawindwa zaidi ya Wa South Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo akili zako zmefikia huku ?Hebu nipe idadi na research ilipofanyika kwamba Raisi Wa USA anawindwa zaidi ya Wa South Africa.
Ubaguzi tuFuatilia tena kwann walizuiliwa
Kwa hiyo mwenye haki ya kuvamia ni USA pekee?Je SA ni sawa na USA ? Ndo nyiny mnaunga mkono Urusi kuvamia Ukraine kisa , USA ikivamia Iraq , watu wa hovyo sana
Hio ni Inferiority complex, kwanini SA isiwe sawa USA. Wewe ndio ungekua Kiranja wa Dunia ungeruhusu SA Apartheid irudi. Zote ni Nchi zote zina Maraisi utofauti upo wapi?Je SA ni sawa na USA ? Ndo nyiny mnaunga mkono Urusi kuvamia Ukraine kisa , USA ikivamia Iraq , watu wa hovyo sana
Hiyo ni fursa imejitokeza. Ndiyo maana Marekani anajaribu ku-test machuma bovu yake huko Ukraine.Kwan kutest ndo ilikuwa mkakatai wa kuivamia ukraine na sio disarm ukraine?
Kama alienda ^kumwomba,^ basi it means alienda kufanya upatanishi ili kumsaidia Ukraine asiendelee kupondwa.Kwan alienda kupatanisha au aliend kumuomba Putin aache uvamiz wake
Kwako hayafanani pengine, lakini hakuna tofauti yoyote, mkuu. Please trust me to think on your behalf.Mazingira hayafanan mkuu
SA na USA tofauti ni hiyo ^U^ tu mkuu. Mengine yote ni sawa. Miller! Miller! Can you read me?Je SA ni sawa na USA ? Ndo nyiny mnaunga mkono Urusi kuvamia Ukraine kisa , USA ikivamia Iraq , watu wa hovyo sana