Poland: Jiji la Lublin lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine

Poland: Jiji la Lublin lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kwa mujibu wa BBC Jiji la Lublin ,Poland lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine

Wamewapa wakimbizi makazi mazito,chakula mavazi na wameamua kuwa wabaki tu kwenye jiji lao wataishi vizuri tu

Dar es salaam tuko zaidi ya milioni tano hatujamkaribisha hata mkimbizi mmoja toka Ukraine.Tunazidiwa na jiji lenye watu
350, 000

Ndio maana wazungu hawatupendi waafrika Sisi likitukuta tunakimbilia Ulaya wakati wao yakiwakuta kama hilo.la Ukraine hakuna nchi hata moja ya kiafrika imewaambia wakimbizi wa Ukraine karibuni kwetu tutawatunza
 
Hao wapolishi wabaguzi sana, walichowafanyia waafrika wenzetu waliokuwa wanakimbia hiyo vita umesahau mara hii!?

Kuwasaidia watu wa Ukraine ni sawa ila hakuna lolote la kujifunza kutoka kwa hao wabaguzi wa Poland.

Ikumbukwe wakati wa vita kuu ya dunia hao wapoland waliletwa huku Afrika kama wakimbizi, na tukawahifadhi vizuri hapa (Tz Tengeru Arusha)bado hawana shukurani.

Mzungu anaona kusaidiwa ni haki yake ila kusaidia ni fadhila...hawa jamaa hovyo sana.
 
Obviously Kwa msaada WA wageni waliokuja kwenye kikao Chao hapo Poland!
 
Jiji la Lublin ,Poland lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine

Wamewapa wakimbizi makazi mazito,chakula mavazi na wameamua kuwa wabaki tu kwenye jiji lao wataishi vizuri tu

Dar es salaam tuko zaidi ya milioni tano hatujamkaribisha hata mkimbizi mmoja toka Ukraine.Tunazidiwa na jiji lenye watu
350, 000

Ndio maana wazungu hawatupendi waafrika Sisi likitukuta tunakimbilia Ulaya wakati wao yakiwakuta kama hilo.la Ukraine hakuna nchi hata moja ya kiafrika imewaambia wakimbizi wa Ukraine karibuni kwetu tutawatunza
Usipende kuwa muongo namna hiyo, tuwekee basi picha ya huo mji na wakimbizi wakijivinjali
 
Kuna wakimbizi kongo kuna wakimbizi burundi ila wewe umeona tuwakalibishe wa ukrein wenzio huu ndio tunaita utumwa wa fikla,
Hao wakimbizi wa kongo na Burundi wanatunzwa na shirika la wakimbizi la Umoja wa mataifa.Hao wa Poland wanatunzwa na wakazi wa Jiji la Lublin lenyewe kwa gharama zao sio za UNHCR inajivunia kitu ambacho hugharimii wewe

Msikilize mayor wao
In the face of unprecedented military aggression against Ukraine, the City of Lublin stands side by side with neighbouring Ukraine and offers support,” Zuk wrote. “As a matter of urgency, we are preparing a comprehensive package of aid measures for people who have fled war.”

Residents and businesses have “eagerly” volunteered to host Ukrainian citizens under their roofs, he said. Restaurants are offering free hot meals to those in need, schools are opening their doors to children from Ukraine, and a day care has been launched for refugee kids with absent guardians.
 
Hao wanatunzwa na shirika la wakimbizi la Umoja wa mataifa.Hao wa Poland wanatunzwa na wakazi wa Jiji la Lublin lenyewe kwa gharama zao sio za UNHCR inajivunia kitu ambacho hugharimii wewe...

kwaiyo unataka wakimbizi wa poland waje watunzwe na wakazi wa dar, ila wakimbizi wa kongo na burundi waendelee kutunzwa na Unhcr[emoji848]
 
Hao wakimbizi wa kongo na Burundi wanatunzwa na shirika la wakimbizi la Umoja wa mataifa.Hao wa Poland wanatunzwa na wakazi wa Jiji la Lublin lenyewe kwa gharama zao sio za UNHCR inajivunia kitu ambacho hugharimii wewe...

izo propaganda ni vema tuwekee video za wakimbizi wenyewe wanavyo enjoy,
 
Kuna wakimbizi kongo kuna wakimbizi burundi ila wewe umeona tuwakalibishe wa ukrein wenzio huu ndio tunaita utumwa wa fikla,
Kwel kabisa... Siku zote ngoz nyeus haithamin ngoz nyeus yenzake... Takataka kabisa
 
Back
Top Bottom