Poland yasema haina mafuta ya bure ya kuipatia Ukraine

Poland yasema haina mafuta ya bure ya kuipatia Ukraine

STRUGGLE MAN

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
8,633
Reaction score
16,586
Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.

Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi hiyo iwapo Russia itafunga bomba lake la gesi isiingie Ukraine, sasa hivi nchi jiran ya Poland imesema haina mafuta ya bure ya kuipa Ukraine.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Waziri wa Mazingira wa Poland, Bi Anna Moskwa akitangaza hayo jana na kuongeza kuwa, nchi yake imeamua kusimamisha kuipa Ukraine mafuta ya bure, lakini mafuta ya kununua yataendelea kupelekwa Ukraine kama kawaida.

Waziri huyo wa Poland amesema, kipaumbele cha kwanza cha nchi yake ni soko la ndani ya Poland. Wananchi wa Poland ndio muhimu kuliko wa nchi nyingine, amesema. Sasa Poland itakuwa inaiuzia mafuta Ukraine kupitia shirika la PKN Orlen.

Anna Moskwa, Waziri wa Mazingira wa Poland

Waziri wa Mazingira wa Poland pia amesema, mashirika ya mafuta ya Ukraine yanapaswa yajitegemee yenyewe. Inabidi yatambue hali halisi ilivyo, hivyo yaendane na hali hiyo. Amesisitiza kwa kusema: Mafuta ya bure tuliyokuwa tukiipa Ukraine yalikuwa ni majibu ya mgogoro wa vita vya Russia na nchi hiyo, lakini hivi sasa kumefanyika mabadiliko. Ukraine inao uwezo wa kununua mafuta. Hivyo itabidi ilipie mafuta inayopewa na Poland.

Ilikuwa imejulikana tangu zamani kuwa, Poland itavunja mkataba wake na shirika la Russia la Gazprom kabla ya kufikia mwisho. Mkataba baina ya Poland na Russia unaipa Poland mita-cubic milioni 10 za gesi ya Russia kila mwaka.

Hivi sasa Poland inahitaji kujaza pengo hilo kupitia kununua gesi kutoka Marekani na nchi za Kiarabu pamoja na gesi asilia kutoka Norway. Lakini inaonekana itaendelea kuwa na upungufu wa nishati, hivyo imeiambia wazi Ukraine kwamba haina tena mafuta ya bure ya kuipa nchi hiyo.
 
Poland: Hatuna mafuta ya bure, Ukraine waishi kulingana na hali halisi ilivyo


[https://media]Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.

Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi hiyo iwapo Russia itafunga bomba lake la gesi isiingie Ukraine, sasa hivi nchi jiran ya Poland imesema haina mafuta ya bure ya kuipa Ukraine.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Waziri wa Mazingira wa Poland, Bi Anna Moskwa akitangaza hayo jana na kuongeza kuwa, nchi yake imeamua kusimamisha kuipa Ukraine mafuta ya bure, lakini mafuta ya kununua yataendelea kupelekwa Ukraine kama kawaida.

Waziri huyo wa Poland amesema, kipaumbele cha kwanza cha nchi yake ni soko la ndani ya Poland. Wananchi wa Poland ndio muhimu kuliko wa nchi nyingine, amesema. Sasa Poland itakuwa inaiuzia mafuta Ukraine kupitia shirika la PKN Orlen.

[https://media]Anna Moskwa, Waziri wa Mazingira wa Poland



Waziri wa Mazingira wa Poland pia amesema, mashirika ya mafuta ya Ukraine yanapaswa yajitegemee yenyewe. Inabidi yatambue hali halisi ilivyo, hivyo yaendane na hali hiyo. Amesisitiza kwa kusema: Mafuta ya bure tuliyokuwa tukiipa Ukraine yalikuwa ni majibu ya mgogoro wa vita vya Russia na nchi hiyo, lakini hivi sasa kumefanyika mabadiliko. Ukraine inao uwezo wa kununua mafuta. Hivyo itabidi ilipie mafuta inayopewa na Poland.

Ilikuwa imejulikana tangu zamani kuwa, Poland itavunja mkataba wake na shirika la Russia la Gazprom kabla ya kufikia mwisho. Mkataba baina ya Poland na Russia unaipa Poland mita-cubic milioni 10 za gesi ya Russia kila mwaka.

Hivi sasa Poland inahitaji kujaza pengo hilo kupitia kununua gesi kutoka Marekani na nchi za Kiarabu pamoja na gesi asilia kutoka Norway. Lakini inaonekana itaendelea kuwa na upungufu wa nishati, hivyo imeiambia wazi Ukraine kwamba haina tena mafuta ya bure ya kuipa nchi hiyo.
Siku ikifika hata wale waliokushangilia ........watageuka na kuanza kukucheka......kukuona kichekesho
FB_IMG_16534756530868002.jpg
 
Poland: Hatuna mafuta ya bure, Ukraine waishi kulingana na hali halisi ilivyo


[https://media]Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.

Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi hiyo iwapo Russia itafunga bomba lake la gesi isiingie Ukraine, sasa hivi nchi jiran ya Poland imesema haina mafuta ya bure ya kuipa Ukraine.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Waziri wa Mazingira wa Poland, Bi Anna Moskwa akitangaza hayo jana na kuongeza kuwa, nchi yake imeamua kusimamisha kuipa Ukraine mafuta ya bure, lakini mafuta ya kununua yataendelea kupelekwa Ukraine kama kawaida.

Waziri huyo wa Poland amesema, kipaumbele cha kwanza cha nchi yake ni soko la ndani ya Poland. Wananchi wa Poland ndio muhimu kuliko wa nchi nyingine, amesema. Sasa Poland itakuwa inaiuzia mafuta Ukraine kupitia shirika la PKN Orlen.

[https://media]Anna Moskwa, Waziri wa Mazingira wa Poland



Waziri wa Mazingira wa Poland pia amesema, mashirika ya mafuta ya Ukraine yanapaswa yajitegemee yenyewe. Inabidi yatambue hali halisi ilivyo, hivyo yaendane na hali hiyo. Amesisitiza kwa kusema: Mafuta ya bure tuliyokuwa tukiipa Ukraine yalikuwa ni majibu ya mgogoro wa vita vya Russia na nchi hiyo, lakini hivi sasa kumefanyika mabadiliko. Ukraine inao uwezo wa kununua mafuta. Hivyo itabidi ilipie mafuta inayopewa na Poland.

Ilikuwa imejulikana tangu zamani kuwa, Poland itavunja mkataba wake na shirika la Russia la Gazprom kabla ya kufikia mwisho. Mkataba baina ya Poland na Russia unaipa Poland mita-cubic milioni 10 za gesi ya Russia kila mwaka.

Hivi sasa Poland inahitaji kujaza pengo hilo kupitia kununua gesi kutoka Marekani na nchi za Kiarabu pamoja na gesi asilia kutoka Norway. Lakini inaonekana itaendelea kuwa na upungufu wa nishati, hivyo imeiambia wazi Ukraine kwamba haina tena mafuta ya bure ya kuipa nchi hiyo.
Poland hawezi kuveba mzgo wa kutoa wese umezidia
 
Poland: Hatuna mafuta ya bure, Ukraine waishi kulingana na hali halisi ilivyo


[https://media]Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.

Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi hiyo iwapo Russia itafunga bomba lake la gesi isiingie Ukraine, sasa hivi nchi jiran ya Poland imesema haina mafuta ya bure ya kuipa Ukraine.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Waziri wa Mazingira wa Poland, Bi Anna Moskwa akitangaza hayo jana na kuongeza kuwa, nchi yake imeamua kusimamisha kuipa Ukraine mafuta ya bure, lakini mafuta ya kununua yataendelea kupelekwa Ukraine kama kawaida.

Waziri huyo wa Poland amesema, kipaumbele cha kwanza cha nchi yake ni soko la ndani ya Poland. Wananchi wa Poland ndio muhimu kuliko wa nchi nyingine, amesema. Sasa Poland itakuwa inaiuzia mafuta Ukraine kupitia shirika la PKN Orlen.

[https://media]Anna Moskwa, Waziri wa Mazingira wa Poland



Waziri wa Mazingira wa Poland pia amesema, mashirika ya mafuta ya Ukraine yanapaswa yajitegemee yenyewe. Inabidi yatambue hali halisi ilivyo, hivyo yaendane na hali hiyo. Amesisitiza kwa kusema: Mafuta ya bure tuliyokuwa tukiipa Ukraine yalikuwa ni majibu ya mgogoro wa vita vya Russia na nchi hiyo, lakini hivi sasa kumefanyika mabadiliko. Ukraine inao uwezo wa kununua mafuta. Hivyo itabidi ilipie mafuta inayopewa na Poland.

Ilikuwa imejulikana tangu zamani kuwa, Poland itavunja mkataba wake na shirika la Russia la Gazprom kabla ya kufikia mwisho. Mkataba baina ya Poland na Russia unaipa Poland mita-cubic milioni 10 za gesi ya Russia kila mwaka.

Hivi sasa Poland inahitaji kujaza pengo hilo kupitia kununua gesi kutoka Marekani na nchi za Kiarabu pamoja na gesi asilia kutoka Norway. Lakini inaonekana itaendelea kuwa na upungufu wa nishati, hivyo imeiambia wazi Ukraine kwamba haina tena mafuta ya bure ya kuipa nchi hiyo.
Maana yake Ni kwamba EU ndio wanatakiwa waanze kulipia gharama za hayo Mafuta.

Je, EU watakubali..?
 
Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.

Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi hiyo iwapo Russia itafunga bomba lake la gesi isiingie Ukraine, sasa hivi nchi jiran ya Poland imesema haina mafuta ya bure ya kuipa Ukraine.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Waziri wa Mazingira wa Poland, Bi Anna Moskwa akitangaza hayo jana na kuongeza kuwa, nchi yake imeamua kusimamisha kuipa Ukraine mafuta ya bure, lakini mafuta ya kununua yataendelea kupelekwa Ukraine kama kawaida.

Waziri huyo wa Poland amesema, kipaumbele cha kwanza cha nchi yake ni soko la ndani ya Poland. Wananchi wa Poland ndio muhimu kuliko wa nchi nyingine, amesema. Sasa Poland itakuwa inaiuzia mafuta Ukraine kupitia shirika la PKN Orlen.

Anna Moskwa, Waziri wa Mazingira wa Poland

Waziri wa Mazingira wa Poland pia amesema, mashirika ya mafuta ya Ukraine yanapaswa yajitegemee yenyewe. Inabidi yatambue hali halisi ilivyo, hivyo yaendane na hali hiyo. Amesisitiza kwa kusema: Mafuta ya bure tuliyokuwa tukiipa Ukraine yalikuwa ni majibu ya mgogoro wa vita vya Russia na nchi hiyo, lakini hivi sasa kumefanyika mabadiliko. Ukraine inao uwezo wa kununua mafuta. Hivyo itabidi ilipie mafuta inayopewa na Poland.

Ilikuwa imejulikana tangu zamani kuwa, Poland itavunja mkataba wake na shirika la Russia la Gazprom kabla ya kufikia mwisho. Mkataba baina ya Poland na Russia unaipa Poland mita-cubic milioni 10 za gesi ya Russia kila mwaka.

Hivi sasa Poland inahitaji kujaza pengo hilo kupitia kununua gesi kutoka Marekani na nchi za Kiarabu pamoja na gesi asilia kutoka Norway. Lakini inaonekana itaendelea kuwa na upungufu wa nishati, hivyo imeiambia wazi Ukraine kwamba haina tena mafuta ya bure ya kuipa nchi hiyo.
Chanzo cha habar yako?
 
Vita vimeiharibu vibaya Ukraine, sasa Poland imeikatia mafuta ya bure.

Wakati nchi za Ulaya zikiendelea kudai kuwa ziko pamoja na Ukraine kwa hali na mali na kwamba ziko tayari kuisaidia nchi hiyo iwapo Russia itafunga bomba lake la gesi isiingie Ukraine, sasa hivi nchi jiran ya Poland imesema haina mafuta ya bure ya kuipa Ukraine.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Waziri wa Mazingira wa Poland, Bi Anna Moskwa akitangaza hayo jana na kuongeza kuwa, nchi yake imeamua kusimamisha kuipa Ukraine mafuta ya bure, lakini mafuta ya kununua yataendelea kupelekwa Ukraine kama kawaida.

Waziri huyo wa Poland amesema, kipaumbele cha kwanza cha nchi yake ni soko la ndani ya Poland. Wananchi wa Poland ndio muhimu kuliko wa nchi nyingine, amesema. Sasa Poland itakuwa inaiuzia mafuta Ukraine kupitia shirika la PKN Orlen.

Anna Moskwa, Waziri wa Mazingira wa Poland

Waziri wa Mazingira wa Poland pia amesema, mashirika ya mafuta ya Ukraine yanapaswa yajitegemee yenyewe. Inabidi yatambue hali halisi ilivyo, hivyo yaendane na hali hiyo. Amesisitiza kwa kusema: Mafuta ya bure tuliyokuwa tukiipa Ukraine yalikuwa ni majibu ya mgogoro wa vita vya Russia na nchi hiyo, lakini hivi sasa kumefanyika mabadiliko. Ukraine inao uwezo wa kununua mafuta. Hivyo itabidi ilipie mafuta inayopewa na Poland.

Ilikuwa imejulikana tangu zamani kuwa, Poland itavunja mkataba wake na shirika la Russia la Gazprom kabla ya kufikia mwisho. Mkataba baina ya Poland na Russia unaipa Poland mita-cubic milioni 10 za gesi ya Russia kila mwaka.

Hivi sasa Poland inahitaji kujaza pengo hilo kupitia kununua gesi kutoka Marekani na nchi za Kiarabu pamoja na gesi asilia kutoka Norway. Lakini inaonekana itaendelea kuwa na upungufu wa nishati, hivyo imeiambia wazi Ukraine kwamba haina tena mafuta ya bure ya kuipa nchi hiyo.
Hebu tupe Source ya habari hii.maana nijuavyo mimi Ukreine wanayo mafuta nakuna mabomba ya gesi na mafuta yanatoka urusi kuelekea Ujerumani yanapita humo humo nchini Ukreine!!
 
Chanzo cha habar yako?
Huyu ni struggle man,wewe mzoee tu,ni mmoja kati ya Pro Russia mabingwa wa kuanzisha vijihabari vya juu juu.Watakuwa wanawania tuzo ya mwanzisha mada nyingi kwa siku hapa JF
 
Hebu tupe Source ya habari hii.maana nijuavyo mimi Ukreine wanayo mafuta nakuna mabomba ya gesi na mafuta yanatoka urusi kuelekea Ujerumani yanapita humo humo nchini Ukreine!!
Hawezi kukupa source kwakuwa hana,hii habari ni kama habari zingine tu anazoanzishaga huwa zinaelea hewani siku zote.
 
Poland yenyewe kwa Ulaya haina uchumi mkubwa sana wa kufikia hatua ya kuisaidia nchi nyingine!
 
Ndiyo maana wanawaambia raia wake wakachanje kuni! Warsaw wanachekesha sana utadhani si wazungu tunawajua aisee!
====
At the end of March, Poland placed a full embargo on coal imports from Russia. The ban applies not only to the public, but private firms as well. This led to a shortage of coal, and a subsequent shortage of firewood.

Earlier this month, Poles were officially allowed to collect firewood in the forests, but only after undergoing training, and with permission from local forestry units.
 
Back
Top Bottom