Poland yatuma wanajeshi mpakani licha ya Putin kulia lia

Poland yatuma wanajeshi mpakani licha ya Putin kulia lia

una akili nyepesi sana
na huo mfano wako kila siku una utoaga ukijua kwamba utaeleweka.
sikia nikwambie hizo akili zako bado sana
maana unakurupukaga sana

Hehehe mwaka wa pili bado mnaandika andika, mlikurupuka humu na nyuzi za kutaka kutuonyesha kiama cha Ukraine, ukweli hata mimi nusra niwaamini, ila walichofanyiwa na hako kataifa ka Ukraine, itaandikwa na kusomwa kenye vitabu vyote vya historia, kubalini mtume wenu Putin ni hovyo....
 
Aliangukia pua yaani, hehehe nilicheka sana, kapigwa na kitu kizito hakutarajia.....sijui nani kamdanganya Putin unaweza kuiparamia nchi ya watu kama kwako sebuleni...
Hebutazama silaha za Nato zinavyo teketezwa yani kila Mwanajeshi wa Urusi akirupua vifaru anapewa 12000 US dollars hizo aibu za NATO humuonyeshwi na CNN au AlJazeera
 
Hebutazama silaha za Nato zinavyo teketezwa yani kila Mwanajeshi wa Urusi akirupua vifaru anapewa 12000 US dollars hizo aibu za NATO humuonyeshwi na CNN au AlJazeera


Hizi video zenye maandishi ya kiarabu kama ndio tegemeo lako kweli mumeishiwa, nikiamua kuleta video humu mbona nitajaza server za watu bure.....hehehe takbir
 
dogo Poland anafatwa atake asitake we tuliza ball, Ukraine kisha malizwa amebaki kurusha Rushall visilaha alivyo baking navyo.

Kwa tarifa yako kule Odesa zile ni silaha za Nato zimeisha malizwa walikuwa Nato wanapeleka silaha
kwa siasa ya biashara ya ngano mchezo huo Mrusi kaushtukia.

Hivi dogo uko wapi dunia nzima wanasema Ukraine karibu watanza vita wenyewe kwa wenyewe sababu hakuna mwanaume akawachwa analazimishwa aende kwenye frontline.

Hivi hujui wanaopigana kule Ukraine kwa sasa ni wa Polish na Wagermany.

Hata waziri wawn
je wa US amekiri hayo afu Poland aingie vita na Mrusi unaota wewe au.


Poland uharo unamtoka bada ya Putin kuwambia ardhi ya Mrusi walipewa zawadi Stalin afu aishambilie Belarus hakuna nchi inawezapigana vita na Mrusi sio Nato au vichaa wengine.
Na wewe kwenye familia yako unategemewa utatue changamoto za familia ?
 
dogo Poland anafatwa atake asitake we tuliza ball, Ukraine kisha malizwa amebaki kurusha Rushall visilaha alivyo baking navyo.

Kwa tarifa yako kule Odesa zile ni silaha za Nato zimeisha malizwa walikuwa Nato wanapeleka silaha
kwa siasa ya biashara ya ngano mchezo huo Mrusi kaushtukia.

Hivi dogo uko wapi dunia nzima wanasema Ukraine karibu watanza vita wenyewe kwa wenyewe sababu hakuna mwanaume akawachwa analazimishwa aende kwenye frontline.

Hivi hujui wanaopigana kule Ukraine kwa sasa ni wa Polish na Wagermany.

Hata waziri wawn
je wa US amekiri hayo afu Poland aingie vita na Mrusi unaota wewe au.


Poland uharo unamtoka bada ya Putin kuwambia ardhi ya Mrusi walipewa zawadi Stalin afu aishambilie Belarus hakuna nchi inawezapigana vita na Mrusi sio Nato au vichaa wengine.
Toka mwanzo mwa hii SMO,Poland ilionekana mapema itafuatiwa baada ya Uikrane.
Screenshot_20230722-154745.jpg
 
Wamediriki na wamefanya....jeshi lao liko mpakani na Belarus, Putin alibwatuka mikwara na vilio ila ndio hivyo ashakua mzee wa kupuuzwa....

POLAND has sent troops to their border with Belarus to face off the growing threat of Wagner forces amassing on the Nato nation's eastern flank.

Vladimir Putin responded to the military move with a chilling Stalin-style threat that promised to "remind them" of their place using "all the means at our disposal".
Poland's Security Committee decided to transfer troops to the border over concerns of the build up of Yevgeny Prigozhin's Wagner mercenary army.

The move was prompted by Belarus' decision on Thursday to hold the joint drills between their special forces and Wagner troops only three miles from the Nato perimeter.

Zbigniew Hoffmann, secretary of the committee, said the exercises are "undoubtedly a provocation".

Polish residents near the border region reported hearing shooting and helicopters.
Poland wanahangaika na Wagner tu!!
 
Ndivyo mnakaririshana huko, Ukraine imeisaidiwa tu visilaha na kwanza hata haijapewa aina ya za kiwaki waki ambazo zingemaliza hivi vita mapema, Urusi ifanye kosa la kugusa taifa la NATO hata moja, kwa sasa imepoteza wanajeshi zaidi ya 200,000 kwa kataifa kadogo hapo pembeni, je NATO wakitua itakuaje.......
Urusi imesalia na manyuklia tu, na hawawezi kuyatumia maana watafutwa duniani, hayo manyuklia kwa sasa ni midoli tu, ila silaha zingine zote hata hypersonic zote zimekua zinapanguliwa.....hehehe
Umenena vema. Hata kama Putin huwa anajifanya hamnazo lakini linapokuja swala la NATO lazima Putin awashe data.
 
Russia ataishia tu hapo Ukraine hawezi kamwe kwenda nje ya hapo na hilo hata yeye analifahamu vizuri sana. Russia is just a poor excuse for a super power.
 
dogo Poland anafatwa atake asitake we tuliza ball, Ukraine kisha malizwa amebaki kurusha Rushall visilaha alivyo baking navyo.

Kwa tarifa yako kule Odesa zile ni silaha za Nato zimeisha malizwa walikuwa Nato wanapeleka silaha
kwa siasa ya biashara ya ngano mchezo huo Mrusi kaushtukia.

Hivi dogo uko wapi dunia nzima wanasema Ukraine karibu watanza vita wenyewe kwa wenyewe sababu hakuna mwanaume akawachwa analazimishwa aende kwenye frontline.

Hivi hujui wanaopigana kule Ukraine kwa sasa ni wa Polish na Wagermany.

Hata waziri wawn
je wa US amekiri hayo afu Poland aingie vita na Mrusi unaota wewe au.


Poland uharo unamtoka bada ya Putin kuwambia ardhi ya Mrusi walipewa zawadi Stalin afu aishambilie Belarus hakuna nchi inawezapigana vita na Mrusi sio Nato au vichaa wengine.
Soon utakuwa kichaa , mara ukraine wanalazimishwa kupigana , mara wanaopigana ni wapoland na wajeruman , yaan bado kdgo uokote makopo
 
We dogo hivi unadhani Ukraine alipigana peke yake [emoji23] Nato yote imo pale Ukraine wameishiwa silaha hawana tena silaha za kumpa Ukraine mpaa wanamtumia sasa clusterboom hawajui wanafanya Big mistake Russia anaweza kutumia hata Nuclear .We kaa unaota Ukraine anapigana vita na Mrusi sisi tunajua anapigana na Nato.
Ww mtu bado kdg uwe kichaa
 
Dogo Mrusi si kichaa ka US angetaka kumaliza vita hata siku moja angemaliza kwa kutumia Nuclear

Ukraine washukuru sana Putin anahuruma na anacheza nao kidogo kidogo.

Siri zitajulikana tu vita vikisha kuwa Nato yote ilikuwa inapigana na Mrusi.
Bado kdg uwe kichaa , Putin awe na huruma ya kulipua makazi ya watu?
 
una akili nyepesi sana
na huo mfano wako kila siku una utoaga ukijua kwamba utaeleweka.
sikia nikwambie hizo akili zako bado sana
maana unakurupukaga sana
Ukikosa hoja kaa kimya , hz tabia za uswahili hazitupendez humu , jibu kwa hoja
 
Siku akisaidiwa ndio sijui mtalia, yaani Urusi hata waarabu waliokua wanaitegemea wameishangaa sana, mumesalia nyie waarabu wa Bongo ndio mumejizima data.
[emoji38][emoji38]hawa waarabu wa bongo ni machawa hatari wanapigania kuidalalia bandari yetu.
 
Soon utakuwa kichaa , mara ukraine wanalazimishwa kupigana , mara wanaopigana ni wapoland na wajeruman , yaan bado kdgo uokote makopo
Wacha nije anza kujifundisha kwako 😂 kwa siku huwa unaokota makopo mangapi
 
dogo Poland anafatwa atake asitake we tuliza ball, Ukraine kisha malizwa amebaki kurusha Rushall visilaha alivyo baking navyo.

Kwa tarifa yako kule Odesa zile ni silaha za Nato zimeisha malizwa walikuwa Nato wanapeleka silaha
kwa siasa ya biashara ya ngano mchezo huo Mrusi kaushtukia.

Hivi dogo uko wapi dunia nzima wanasema Ukraine karibu watanza vita wenyewe kwa wenyewe sababu hakuna mwanaume akawachwa analazimishwa aende kwenye frontline.

Hivi hujui wanaopigana kule Ukraine kwa sasa ni wa Polish na Wagermany.

Hata waziri wawn
je wa US amekiri hayo afu Poland aingie vita na Mrusi unaota wewe au.


Poland uharo unamtoka bada ya Putin kuwambia ardhi ya Mrusi walipewa zawadi Stalin afu aishambilie Belarus hakuna nchi inawezapigana vita na Mrusi sio Nato au vichaa wengine.
Hivi poland unawajua lakin au ndo hamtaki kusoma historia, katika zenye historia yakukinukisha kwenye mambo yakimedani bhasi nihao wapoland hawa sio washamba wavita naurusi inatambua
 
Back
Top Bottom