Kumbe bado una akili za kitoto hv???
Unajua treats ambazo zinasimamia matumiz ya Nuclear??? Au unajisemea tu???
Kama huruma anayo huyo bwana Putin pamoja na Nuclear zake kwa nn mpaka mda huu hajatumia na anaingia loss za namna hiyo??? Pili mbona anakumbia kwenda kwenye mkutano wao wa South Africa????
Utumiaji wa Nuclear sio Kama kuuza karanga mtaani bro