Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Kwa sababu msiba umetokea leo na wamezika leo leo
nie radhi kwa kutowasilisha hizi taarifa mapema
huyu aliyefariki ni yupi?
Kwa mliopo mjini nadhani mnafahamu kuhusu msiba uliomkumba huyu balozi wetu wa bintiye na kwa taarifa tu ni kuwa mazishi yamefanyika leo leo...inshaalah nitawaupdate kuhusu taarifa za KHITMA
Inaah lilahi wa inna illahi rajuun
The Maharag(w?)es are cool people.
Na ndio uzuri wa hili jamvi. Ukitaka ka background check ka mtu basi marekodi ya ma allegations yote yamo.Balozi Maharage ana ndugu yake pale Foreign alikuwa anatumia jina la Maharage. Maharage mdogo alipoajiriwa Foreign, yeye albadili jina kuepuka masuala ya maadili...
Ina Lilahi WainaIlaih Rajiun,
Nawapa pole sana familia ya Maharage Juma na hasa mshikaji wangu wa nguvu Perreira...
Kwa taarifa za karibu (zisizo na Uhakika) nimesikia kwamba binti marehemu aliwekewa sumu ktk mishkaki..wapi sielewi!..
Nitazidi kufuatiolia zaidi habari hii.....inatisha jamani...
Mzee angalia tusije tukakudai source hata kama habari siyo za uhakika, kuna umuhimu wa kui-verify maana hii hatari kubwa na inatisha. Tutaanza kuogopa offer za vinywaji na lunch/dinner.
RIP binti wa Mzee Maharage na Pole kwa familia ya Mzee Maharage!
mishikaki,alikula mitaa ya KAWEIna Lilahi WainaIlaih Rajiun,
Nawapa pole sana familia ya Maharage Juma na hasa mshikaji wangu wa nguvu Perreira...
Kwa taarifa za karibu (zisizo na Uhakika) nimesikia kwamba binti marehemu aliwekewa sumu ktk mishkaki..wapi sielewi!..
Nitazidi kufuatiolia zaidi habari hii.....inatisha jamani...