....POLE DIDA najuha Unavyojisikia NOW

msolopaganzi1954

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
763
Reaction score
379
Utatukanwa Sana, utapewa maneno machafu yote ya DUNIA HII NA YASIYO ya Dunia hii.
...Ukweli mchungu Sana, Unapomuweka mchezaji BENCH Sana Anapoteza Hali Ya kujiamini.... Na haya Ndo matokeo yake.

Pia Tuwe na nidhamu ya mchezo Kwa Team ndogo na kubwa Pia.
#Hongera Sana Mashujaa

FOR ME, Man of the Match Alikuwa Mwamuzi
 
LEO NIMEGUNDUA TUNAMUHITAJI KAKOLANYA,DIDA AWE KIPA NAMBVA NNE ALLY SALIM NAMBA TATU, GOLI LA TATU ALITAKIWA ADAKE KWA KUKUNJA NUSU GOTI, STUPID FAGGOT..MAMAMKEEEE
 
Kateni rufaa watani zangu!

Simba ni noma! Huwa inapigwa na vijitimu ambavyo haviko kwenye ramani ya football!
Mwaka jana Green warriors waliifanyizia Simba Kweli kweli.

Mwaka huu tena Mashujaa wamewado na wao!
 
Kitishu kinaonekana
 
Kateni rufaa watani zangu!

Simba ni noma! Huwa inapigwa na vijitimu ambavyo haviko kwenye ramani ya football!
Mwaka jana Green warriors waliifanyizia Simba Kweli kweli.

Mwaka huu tena Mashujaa wamewado na wao!
Kesho manala atawadanganya maana anawajua ni Mbumbumbu sana
 
"najuha" ndiyo Kiswahili gani
 
Habari ndo hiyo kikosi kipana kimepanuliwa na Mashujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…