Pole Flora Mbasha siku zote katika Mfumo dume Mwanamke hana haki.

Pole Flora Mbasha siku zote katika Mfumo dume Mwanamke hana haki.

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mmh inahitaji moyo wa ujasiri kweli kumtetea Frola katika hili ! Hebu tuangalie mambo machache hapa halafu tutafakari
-imethibitika kwamba Frola alichangishiwa pesa kanisani za kujikimu baada ya kugombana na mumewe ! Hivi migogoro ya ndo kanisani inatatuliwa kwa Hindi hiyo?
- ni wangapi we ye matatizo ya ndo hapo kanisani walisaidiwa kama Frola?
Kuna waraka mrefu unaoeleza mambo mengi kwa kina kumhusu Frola na Gwajima haujakanushwa popote
- linapotokea tatizo kwenye ndo na make akaamua kuondoka anatakiwa aend kwa wakwe na so kwenda kuishi guest
- huyo mbakwaji inaonyesha dhahiri kulikuwa na makubaliano la sivyo asingekubali Mara ya pili
-kwanini frola akimbilie polis I?
-kwanini mumewe akiwa mahabusu yeye aje na kuchukua kila kitu nyumbani na kuhamia kusikojulikana?
-kwanini juzi hakuonekana mahakamani?
Haina kuna mengi ya kutafakari kabla ya kumtetea frola
 
Mapito hasaa

.....mie naaamini flora uko inocent.....na gwajima naye yuko inocent....mungu yule aliyewatoa akina daniel kny pango la moto atawasimamia both of you!!!.......as for you mbasha I think you are guilty and I hope you go to jail kwa kuwa dhalilisha watumishi wa mungu
 
Mapito hasaa

.....mie naaamini flora uko inocent.....na gwajima naye yuko inocent....mungu yule aliyewatoa akina daniel kny pango la moto atawasimamia both of you!!!.......as for you mbasha I think you are guilty and I hope you go to jail kwa kuwa dhalilisha watumishi wa mungu

Kabla ya kuamini INOCENCY ya frola naomba ujibu nilichoandika hapo juu
 
Mapito hasaa

.....mie naaamini flora uko inocent.....na gwajima naye yuko inocent....mungu yule aliyewatoa akina daniel kny pango la moto atawasimamia both of you!!!.......as for you mbasha I think you are guilty and I hope you go to jail kwa kuwa dhalilisha watumishi wa mungu

Si bure ur sick....who r u by the way to conclude
 
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Very poor minds with zero ability of analysing issues!
 
Ndhani kwenye hili mwenyezi mungu pekee ndio anaejua ukweli wa hili jambo,binadamu wana siri kumbwa sana,inshallah mungu awape wepesi kwenye ndoa yao...........
 
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

hebu tueleze mwenzetu hiki kibaruwa ulichojipa malipo ni shilling ngapi?

wewe ngoja nikuache kiporo hadi asubuhi utanitambuwa na hautorudia tena kuja hapa na ujingaujinga wako.
 
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

The lowest thinker
 
Nasubiri majibubya daktari tu... kuthibitisha dogo alibakwa..

uliona wapi m2 akibakwa mara 3?!" ........... kwa jinsi nilivyomwona yule mtoto inaelekea aliukatia mauono na miguno y kutosha!" halafu anakuja kutudanganya amebakwa. Alitumwa huyo, kwa nn asingeenda police mara y kwanza, aliona tamu akairudia tena na tena!" chezeiya MZAKARI
 
unayajua mazingira ya kubakwa?
wangapi wanabakwa for years na watu wao wa karibu na inabumburuka baadae?
as long as matukio walikuwepo mbasha na shemejie, au mbasha na mkewe wengine hawana haki ya kuhukumu......

subirini report ya daktari




uliona wapi m2 akibakwa mara 3?!" ........... kwa jinsi nilivyomwona yule mtoto inaelekea aliukatia mauono na miguno y kutosha!" halafu anakuja kutudanganya amebakwa. Alitumwa huyo, kwa nn asingeenda police mara y kwanza, aliona tamu akairudia tena na tena!" chezeiya MZAKARI
 
Back
Top Bottom