Pole Flora Mbasha siku zote katika Mfumo dume Mwanamke hana haki.

Pole Flora Mbasha siku zote katika Mfumo dume Mwanamke hana haki.

Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Napata tabu sana, km hal ikielekea hvi hli ltakuwa c jukwaa la great thinkers tena, ss we wifi ake na frola unamlazmisha nan aamin unachowaza ww, evryone has his or her own way of thinking, judging na kuelewa jambo, na c kla m2 huishia kuangalia upande mmoja na kuishia kutapita fyongo kwny jukwaa muhim km hli, you guys hebu achen kufanya wote 2onekane ma ziro brain humu ndan kwa ajil ya ubongo lala wenu
 
SIKILIZA WEWE mleta mada ni kweli una haki ya kuandika unachokiamini lakini kuna wakati kabla hujaanza kuandika unafikili sana pengine ingekuwa ya vichekesho ungeenda jukwaa la jokes...POTEA!!!!!!
 
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

We umetumwa kuja kutuzingua sio! we neenda huko.
 
Watumishi wa Mungu sio dunia hii tuishio binadamu, labda kwingineko. Lol! Never trust anybody in this world.
 
Mapito hasaa

.....mie naaamini flora uko inocent.....na gwajima naye yuko inocent....mungu yule aliyewatoa akina daniel kny pango la moto atawasimamia both of you!!!.......as for you mbasha I think you are guilty and I hope you go to jail kwa kuwa dhalilisha watumishi wa mungu

mmmmmh!!!!
 
kabla ya kuingia kwenye mada naomba kufahamishwa machache wakuu..huyu mdogo wake frola mbasha aliyebakwa ndo yule ambae sex tape yake aliyocheza na mrisho ngassa ilivuja??
 
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye akili kwa ujasiri wa kupeleka kesi polisi na mwishowe mahakamani,naamini kama ulihusika uliamua hivi kwasababu ya kujiamini na ndio maana mhusika alikimbilia mafichoni akaogopa kujitokeza,Ila bahati mbaya kaamua kutumia Propaganda za Gwajima kwa ushahidi usio na mashiko kuondoa tu watu kwenye Mstari wa kujadili ubakaji na kama kawaida ya Watanzania kwa propaganda kakushinda na watu wameamini Gwajima anataka kumfunga kwa ajili yako,kwa akili ya kawaida Gwajima hana njaa ya wanawake kiasi hicho hadi afikie kumfunga mumeo mimi sio muumini wa hili,Pole Flora usijisikie kuumia zaidi yote ni majaribu yatapita wenye akili bado tupo na wewe tunaelewa ulipo,Wanawake wa JF muungeni mkono mwenzenu katika hili pls inauma sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums[/

uyo mdogo ake frola ndo yule aliyecheza sex tape na mrisho ngassa ikavuja mwaka jana?
 
Back
Top Bottom