Pole Haji Manara kwa kuzimia mara 4 huko SA

Huyu nae anaenda kutuaibisha huko, kama anajijua ana kifafa si atulie nyumbani, asipoangalia iko siku atakufa kabisa.
 
Katika watu ambao wananifanya nizidi kuichukia Simba ni hili lijamaa
 
Watu Wamekuja na Kiki Ya Kuzimia Sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpira una maajabu yake baada ya kumaliza dakika 90 unayaona na sio maneno maneno sasa tusubiri tena dakika nyingine tisini tutaona maajabu ya huu mpira kwa mkapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…