ObieTrice
Senior Member
- Jun 27, 2017
- 159
- 154
Pole Irene Uwoya Upate Nguvu ya kuyashinda Majonzi.
Tanzania ilizipokea taarifa za kifo cha aliyekuwa Kocha msaidizi wa timu ya Rayon Sports ya Rwanda, Hamad Ndikumana Katauti ambapo mazishi yake yaliyafanyika siku hiyo hiyo kutokana na sheria ya dini yake ya kiislamu.
Marehemu aliwahi kucheza soka Tanzania akiwa na Stand United na ni Mume wa zamani wa Mwigizaji Irene Uwoya na wana mtoto mmoja.