namshangaa aisee anavyoshupalia utadhan alikuwepo DubaiWacha porojo wewe tafuta pesa zako nawewe uje uzungumzwe ukifa, unajificha kwenye pesa za kidume mwenzio? oooh tuko imara blah blah sijui jamii tafuta mkwanja wako hayo majungu achia wanawake mbaaf
Punguza mihemko weka takwimu mezani watu wajadili na siyo kuongea kama umekalia kitu kilaini..... Huyo Jack tukisema yeye ndiyo aliye muua mzee tutakuwa tunakosea?
wewe ndo una povu na ushabiki wako maandaziPovu halikusaidii kyasaka.
Pesa natafuta maana ni jadi yangu, ni jadi yetu, na hilo mnalijua.
Lazima ukweli uwekwe bayana. Msitutoe kwenye mstari na povu zenu kama vipi mkafulie.
Kama mamlaka zitasema hakuna shida, basi, na iwe hivyo, ila kama kuna shida bas wazimalize kihalali.
Kimila pia zitamalizwa, na maisha yasonge!
Unasikia we kyasaka?
Kwa taarifa tu.looh hadi zama hiz bado unajifaharisha kwa ukabila wako? pole aisee hujielew
ndo wale wale hao wanaoamini dunia hii kuna binadamu anaweza akafufua maiti na tena akishaona faster anaenda IG kupostWewe mjinga nini! unaleta uchawi kwenye koo ya watu matajiri? nani alikwambia wanafanya mambo hayo? Wewe ndio yule jamaa pastor Mboro? mbaaf
Kwa taarifa tu.
waafrika tunabaguana zaidi wenyewe kwa wenyewe kuliko hata tunavyobaguliwa na races nyingine.
I love you for that.Ukiwa na akili kubwa raha sana, nadhani umeona makusudi yangu yalivyofanya wanaume wenzenu kumwaga radhi hadharani!!!
Katika watu wasiopenda kujadili madhaifu ya kikabila mi ni mojawapo,,, nimejaribu tu kidogo kusema baya moja tu la wanawake wa kichaga maana tangu mzee afariki imekuwa ni matusi na dhihaka kwa makabila flani flani
I love you for that.
wewe ndo una povu na ushabiki wako maandazi
Pumbaaav
Hahahha kiherehere grade 1, sasa hiyo si ishu ya familia na ukoo wa Mzee Mengi wewe kunguni unahusika vipi? Unaumia vipi? hivi wewe ni mwanaume wa kawaida au gasho?
Mimi nilidhani tayari report imetoka na kuonyesha hakuna chochote kilichotendeka dhidi ya mzee. Kumbe hata wewe unadhani tu!!. Binadamu ni MTU mwenye siri mno moyoni uwezi kumtambua kwa kumtazama.Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati
Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha
Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
Mimi nilidhani tayari report imetoka na kuonyesha hakuna chochote kilichotendeka dhidi ya mzee. Kumbe hata wewe unadhani tu!!. Binadamu ni MTU mwenye siri mno moyoni uwezi kumtambua kwa kumtazama.Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati
Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha
Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
Unatukana watusi na kutukuza uchagga
Stupidest person
If ungesimamia huu ukabila kuanzia mwanzo.... Mengi angefia kwako
Pumbafff
punguza jazba haki ya mtu haipotei
bila ushahidi huna haki ya kutuhumu!funga domo lako
looh hadi zama hiz bado unajifaharisha kwa ukabila wako? pole aisee hujielew
Ngoja tuzike mchaga Mwenzangu kuanzia alhamisi au ijumaa Instagram patawaka MotoHili ni mlya la kihaya.
Money Penny analijua vizuri.
Linakera sana na kauli zake za kibaguzi.
Ngoja nitafute ule uozo wake niweke hapa
Hivi Madam jack alishinda Miss Tz mwaka gani vile ?
KamwulizeHivi Madam jack alishinda Miss Tz mwaka gani vile ?
Nipe access yakeKamwulize
Me sikuwa kwenye directorate ya Miss Tanzania