Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Wacha kiherehere cha kujikuta umeumia kuzidi watoto wa marehemu na kuwapangia sijui upuuzi wa mila sijui kitaeleweka sijui takataka gani kwa kujivisha ukabila. Yule ni Don sasa wewe kapuku jikute unamjuajua kijinga jinga utapasuliwa katikati ya matter_core shauri yako.

Unafrw ww
 
Huyo chatu siyo wa kupewa pole na huruma za kinafiki.
 
Sijakuambia ninataka pesa za marehemu.

Ninachokijibu hapa ni hoja zenu za kulitusi kabila la Kichagga.

Pesa hata Mimi ninazo, tofauti ni kwamba hazigikii za marehemu.

Kwa hiyo, ukiniuliza pesa za Mengi Mimi nitakuambia nenda nyumban kwake kuna majibu huko.

Ila kuhusu jamii yetu Tukufu ya Kichagga, Mimi nina majibu zaidi ya milioni.

Mimi ni Mchagga original, na ukilisema Kabila la Kichagga vibaya ni lazima nikupe majibu sahihi.

Pesa ninatafuta, kaa na ufukara wako maana kwa maneno yako uanaonekana una dhiki sana.
Sijakuambia ninataka pesa za marehemu.

Ninachokijibu hapa ni hoja zenu za kulitusi kabila la Kichagga.

Pesa hata Mimi ninazo, tofauti ni kwamba hazigikii za marehemu.

Kwa hiyo, ukiniuliza pesa za Mengi Mimi nitakuambia nenda nyumban kwake kuna majibu huko.

Ila kuhusu jamii yetu Tukufu ya Kichagga, Mimi nina majibu zaidi ya milioni.

Mimi ni Mchagga original, na ukilisema Kabila la Kichagga vibaya ni lazima nikupe majibu sahihi.

Pesa ninatafuta, kaa na ufukara wako maana kwa maneno yako uanaonekana una dhiki sana.
Kijana umetumwa? upo moto naona utadhani umenyimwa kisusio
 
Naimani wewe ni mwanafamilia wa marehemu mkuu
Kwa heshima ya marehemu kwa nchi yake na walivyojitoa kiuchumi na kijamii then he is our statesman na Mimi ni mzalendo so part of his extended family. We all are.
 
Tatizo watanzania wengi ni wa binafsi wa kupenda kila mtu apate shida fulani ndio watu nao wapate ahueni ya kusahau shida zao, mambo kama haya yanahuzunisha sana, ngoja tusubiri kama aliyosema Sirro yatatimia, kwa sasa tuwaze kupumzisha mwili wa Mzee wetu kwa amani
Ni waache polisi wafanye kazi yao sio kuropoka tu bila ushahd
 
Unaingiza uchagga kwenye pesa za dume mwenzio! Oooh taifa kubwa sasa hizo takataka unatoa wapi wewe ? Tafuta zako ya Mengi hayakuhusu wewe fisi hizo ni issue za familia yake tuliza huto tukende
Unafrw ww
 
Ukiwa na akili kubwa raha sana, nadhani umeona makusudi yangu yalivyofanya wanaume wenzenu kumwaga radhi hadharani!!!

Katika watu wasiopenda kujadili madhaifu ya kikabila mi ni mojawapo,,, nimejaribu tu kidogo kusema baya moja tu la wanawake wa kichaga maana tangu mzee afariki imekuwa ni matusi na dhihaka kwa makabila flani flani
Wengine Kwa chuki zao binafsi akiwemo na dudu baya wanalishutumu kabila la wahaya wakati hata huyo ntuyabaliwe Hana hata chembe ya uhaya.

Mwingine eti wahaya wasiolewe kisa jack . anyway aliumbuka baada ya kukuta ooh kumbe sio muhaya.
 
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan

Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati

Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha

Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
Unajua kwanza especially huku USA Sheria partner , mke , mume akifa ghafla aliye hai ni suspect .Mume akifa regardless of the age hapa USA mke utachunguzwa vibaya mno.Jaq ni age ndio Tatizo na Kama alikuwa na boyfriend amekwisha.Red flags za uhusiano wake na mengi ni nyinyi number 1-Babu alikuwa anavalishwa Kama kijana( it means haiku accept babu kuwa mzee) number 2-Alikuwa Ana stage photos 3- Aliekuwa Ana post twitter Instagram ya Mr mengi ni jack au mengi ? Choice of words .
 
Unajua kwanza especially huku USA Sheria partner , mke , mume akifa ghafla aliye hai ni suspect .Mume akifa regardless of the age hapa USA mke utachunguzwa vibaya mno.Jaq ni age ndio Tatizo na Kama alikuwa na boyfriend amekwisha.Red flags za uhusiano wake na mengi ni nyinyi number 1-Babu alikuwa anavalishwa Kama kijana( it means haiku accept babu kuwa mzee) number 2-Alikuwa Ana stage photos 3- Aliekuwa Ana post twitter Instagram ya Mr mengi ni jack au mengi ? Choice of words .
Namba na 1 na 2 sijakuelewa mkuu
 
Ngoja wafanye uchunguzi tuondoe hili wingu lililotanda happy Kati.Hii italeta Amani kwa watoto wale wadogo na wakubwa
 
Mgonjwa huyo uliyemuona ‘last time’ alikuwa na haja gani ya kutangishwa mara Zanzibar mara Dubai, maharusi yote ya mjini, mahafla??? Busara haikutumika.
Nilikuwa najiuliza kama alikuwa anatetemeka kwa nini aende Zanzibar Mara Dubai vacation ????
 
Kila jamii inayo sifa nzuri na mbaya mnapozungumzia sifa mbaya za wengine nanyi zenu zinajulikana na kuzungumzwa

Wanawake wa kichaga wanajulikana tabia yao ya kuua waume zao ili wapate mali
Watusi shikamooo,bora niwe na mchaga kulko hao watu ninawajua vizuz kulko wanavyojijua
 
Back
Top Bottom