Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Kwa da Mange muongo
Kuna mambo madogo madogo tu huku uraiani au sehemu za kazi ukisikia yanaongelewa kuhusu wewe na ikiwa ni uongo huwa yanaumiza sana, sasa kwa makubwa kama hayo ya Jacky je, sema Mungu ametupa binadamu usahaulifu hata hao wanaosambaza nao watasahau
 
Unangaika humu ooh kusemwa vibaya sijui kitajulikana sasa huo upuuzi wanini kwa mwanaume?
Yaani wewe kwa ufukara wako na wivu wako unafikiri kila mtu ana dhiki kama za kwako?

Embu lete hoja nyingine, kama huna kalambe lolo tu.

Hilo la pesa kama kuna shida nenda kawaulize wahusika.
 
Umaskini na wivu ni sumu mbaya sana tuliyonayo watanzania,,,
wachaga kutokana na tabia yao mbaya ya kuua waume zao wanahisi na wanawake wa jamii nyinginezo tuko hivyo
Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Punguza mihemko weka takwimu mezani watu wajadili na siyo kuongea kama umekalia kitu kilaini..... Huyo Jack tukisema yeye ndiyo aliye muua mzee tutakuwa tunakosea?
 
Unangaika humu ooh kusemwa vibaya sijui kitajulikana sasa huo upuuzi wanini kwa mwanaume?


Kitajulikana ndiyo.

Kwani IGP si ndiyo kasema?

Unaweweseka nini wewe mende?

Sasa ulitaka iweje?

Kwamba madai yasichunguzwe?

Mwambie aliyekutuma kuwa umetukuta

Kishoia mkubwa!
 
Mzee hakuwa anakula mikuyati ili kumridhisha yule binti kweli ?
Nina mashaka na hilo?
acha mambo yako looh
kwa hiyo unataka kusema na kapuya nae yuko njian?God forbid!
 
Wewe nae ndio walewale, umemuibia dada yako mwanaume unakuja kumtetea besti yako hapa.
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan

Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati

Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha

Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
 
Watusi mnaangaika sana.

"Watoto zake" ni moja ya kiashiria kwamba mtoa mada ni Myarwanda.

Naona anatetea Mtusi mwenzake.

Wachagga Siku zote Tupo macho.

Hatuwezi kuacha jambo lipite hivihivi wakati kuna mazingira na kelele za ajabu.

Chagga ni Taifa, ni damu, ni jamii imara.

Semeni sana, ila ukweli utajulikana tu.
looh hadi zama hiz bado unajifaharisha kwa ukabila wako? pole aisee hujielew
 
Mzee kama yule hawezi mridhisha binti kama yule hata ale nini mkuu, Hata akila dawa ya kuchelewa kukojoa nguvu ya mwili ya pamabano atakosa. Pale ni kuridhishana tu, Bwana kafata lake na bibi kafata lake.

Nani aliyewaloga nyie, usiishie kwa kukariri kuna wazee wanapiga show za kumfa mtu, wewe jidanganye tu
 
Sasa kama wanaua, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria?

Serikali haioni?

Acheni uzushi.

Huyu Malaya wa ki2si lazima anyooshwe nyoko ninyi
punguza jazba haki ya mtu haipotei
bila ushahidi huna haki ya kutuhumu!funga domo lako
 
Watusi mnaangaika sana.

"Watoto zake" ni moja ya kiashiria kwamba mtoa mada ni Myarwanda.

Naona anatetea Mtusi mwenzake.

Wachagga Siku zote Tupo macho.

Hatuwezi kuacha jambo lipite hivihivi wakati kuna mazingira na kelele za ajabu.

Chagga ni Taifa, ni damu, ni jamii imara.

Semeni sana, ila ukweli utajulikana tu.
Unatukana watusi na kutukuza uchagga

Stupidest person

If ungesimamia huu ukabila kuanzia mwanzo.... Mengi angefia kwako

Pumbafff
 
Hahahha kiherehere grade 1, sasa hiyo si ishu ya familia na ukoo wa Mzee Mengi wewe kunguni unahusika vipi? Unaumia vipi? hivi wewe ni mwanaume wa kawaida au gasho?
Kitajulikana ndiyo.

Kwani IGP si ndiyo kasema?

Unaweweseka nini wewe mende?

Sasa ulitaka iweje?

Kwamba madai yasichunguzwe?

Mwambie aliyekutuma kuwa umetukuta

Kishoia mkubwa!
 
Thread yako hii haiwezi kuzima ukweli uliopo. You will be shocked. Tanzania tutaungana wote KUHAKIKISHA ukweli umesimama. Hivyo kama Jack is inoccent itathibitishwa. Kikosi kazi kiko kazini. Tusubiri.
Ujasusi una mbinu nyingi mno.
unafikiri watanzania wote wanapenda umbeya kama wewe? labda uungane na wambeya wenzio
 
Back
Top Bottom