Yaan Ramaphosa kamtosa mwenyekiti mchana kweupeee!!Marekani, Uingereza, Canada zote zinaangalia uminywaji wa haki za wanahabari na uhuru wa kujieleza.
Ndege kuzuiwa ni mwanzo tu kuna mengi zaidi yanakuja. Tujiandae, sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani
Na masikio pia.Yangu machó
sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]masinichi yapo tu hayakosekani ni mengi mnoMarekani, Uingereza, Canada zote zinaangalia uminywaji wa haki za wanahabari na uhuru wa kujieleza.
Ndege kuzuiwa ni mwanzo tu kuna mengi zaidi yanakuja. Tujiandae, sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani
Aiseee!Naipenda sana Tanzania ila hawa watawala wanazingua sana. Wanafanya vitu kwa ujinga hadi inafikia wakifeli tunafurahia. Wanatuona sisi kama sio watu. Wangekuwa na uwezo wangetuua wote ili wabaki wao wafanye watakalo
Acha kuomba dua mbaya wewe mnafiki kabisa. Lazima hii nchi iendelee mtake msitake, mfe muwe hai hii nchi lazima kila mtanzania awe na maisha bora.Marekani, Uingereza, Canada zote zinaangalia uminywaji wa haki za wanahabari na uhuru wa kujieleza.
Ndege kuzuiwa ni mwanzo tu kuna mengi zaidi yanakuja. Tujiandae, sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani
Sema mahakama za SA ziko very strong, Jiwe Ramaphosa hapeleki pua yake kule.Yaan Ramaphosa kamtosa mwenyekiti mchana kweupeee!!
Nasikia na yeye anajipapatua na kashfa ya rushwa!!!!
Hatari tupu.
Acha kuomba dua mbaya wewe mnafiki kabisa. Lazima hii nchi iendelee mtake msitake, mfe muwe hai hii nchi lazima kila mtanzania awe na maisha bora.
Sisi tunakwama wapi?Sema mahakama za SA ziko very strong, Jiwe Ramaphosa hapeleki pua yake kule.
Mambo ya kuhifadhi miili ya watu wa SA kule Mazimbu hayaingiliani na deni husika.
Hata Sky Eclat ni sinichisijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]masinichi yapo tu hayakosekani ni mengi mno
"kila Mtanzania awe na maisha bora". Huu wimbo ni wa kitambo sana. Original version aliuimba JK enzi zilee.Acha kuomba dua mbaya wewe mnafiki kabisa. Lazima hii nchi iendelee mtake msitake, mfe muwe hai hii nchi lazima kila mtanzania awe na maisha bora.
hapa Lumumba hauwezi kuwaona.