Pole mwenyekiti kukamatwa kwa ndege ni mwanzo tu bado suala la Kabendera

Pole mwenyekiti kukamatwa kwa ndege ni mwanzo tu bado suala la Kabendera

Marekani, Uingereza, Canada zote zinaangalia uminywaji wa haki za wanahabari na uhuru wa kujieleza.

Ndege kuzuiwa ni mwanzo tu kuna mengi zaidi yanakuja. Tujiandae, sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani
Kuna moja ilishawahi kuzuiwa Canada na akaja ije ishindwe kurudi hii ya hapo bondeni?,ni swala la muda tu,Mark my word
 
....Majizi yanatapata kuiombea nchi mabaya....

PEPO TOKAAAAAA!!!!
 
Marekani, Uingereza, Canada zote zinaangalia uminywaji wa haki za wanahabari na uhuru wa kujieleza.

Ndege kuzuiwa ni mwanzo tu kuna mengi zaidi yanakuja. Tujiandae, sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani

Ndege za ATCL ni sehemu ya "national Interests" yaani taifa lina maslahi yake kwenye ATCL.

ATCL na ndege zake ni mali ya watanzania wote hivyo sote tunasubiri kwa shauku kufahamu hatma ya kushkiliwa kwake.

Ndege Itaachiwa na itarudi Tanzania.

Eric Kabendera sasa hivi anajifunza kulinda mastahi ya taifa na kuyatetea.

Wewe pia, jitahidi kuiombea ndege yetu mpya ya Airbus ilozuiliwa huko Johannesburg iachiliwe na irudi Tanzania ikiwa salama bila kudukuliwa.
 
Hio pole imekuwa misplaced.., pole kwa walipa kodi sababu hio ni pesa yao
 
Pumbavu
Marekani, Uingereza, Canada zote zinaangalia uminywaji wa haki za wanahabari na uhuru wa kujieleza.

Ndege kuzuiwa ni mwanzo tu kuna mengi zaidi yanakuja. Tujiandae, sijui snitch ni nani sasa hiivi. Maana Kabendera mmemfungia gerezani
 
Acha kuomba dua mbaya wewe mnafiki kabisa. Lazima hii nchi iendelee mtake msitake, mfe muwe hai hii nchi lazima kila mtanzania awe na maisha bora.
Ahahahah nimejikuta nacheka, utafikiri mazuri.....KAZI IPO!!!
 
Ile reception aliyopewa mr Rama kumbe ilikuwa ya kuomba huruma
Kuna Nchi nyingine Rais hana mamlaka juu ya maamuzi ya Mahakama. Bongo darisalama maamuzi kama hayo lazima simu zingepigwa kwa Jiwe kuomba go-ahead. Tunafeli sana sisi
 
Back
Top Bottom