Ukweli ni kwamba, Mama anahujumiwa sana tena sana. Tukumbuke kuwa Mama anapohujumiwa, Nchi ndo inayohujumiwa. Nchi inapohujumiwa, Watanzania wote mmoja wanahujumiwa kwa kukosa huduma za kijamii.
Lakini ni akina nani wanakuhujumu?
Ni wale wale uliowapa nafasi katika utawala wako. Kwa mfano, kuna mradi wa Tshs. 500,000,000/=
Kitakachofanyika hapo ni kugawana hizo fedha kama ifuatavyo:
Kwa hiyo 500,0000,0000/= kutoa 143,000,000/= inabaki 357,000,000/=
Matokeo ya mwisho kabisa ni Mradi kutekelezwa chini ya kiwango au kusuasua.
Mbaya zaidi ni kwamba, uozo huu wote unaendelea wakati Mbunge yupo, Madiwani wapo na Viongozi wengine wa Chama wapo na hawachukui hatua kwa sababu wanaofanya makosa hayo ni Wanachama wenzao(KULINDANA)
Anyway, ngoja iendelee kunyesha tujue panapovuja ili 2024/2025 tufanye Mapinduzi ya Kihistoria.
Lakini ni akina nani wanakuhujumu?
Ni wale wale uliowapa nafasi katika utawala wako. Kwa mfano, kuna mradi wa Tshs. 500,000,000/=
Kitakachofanyika hapo ni kugawana hizo fedha kama ifuatavyo:
- Mkurugenzi atapewa 20,000,000/=
- Mhandisi 10,000,000/=
- RC 30,000,000/=
- DC 23,000,000/=
- Mhasibu 10,000,000/=
- Consultant 10,000,000/=
- TAKUKURU 20,000,0000/=
- Wengineo 20,000,000/=
Kwa hiyo 500,0000,0000/= kutoa 143,000,000/= inabaki 357,000,000/=
Matokeo ya mwisho kabisa ni Mradi kutekelezwa chini ya kiwango au kusuasua.
Mbaya zaidi ni kwamba, uozo huu wote unaendelea wakati Mbunge yupo, Madiwani wapo na Viongozi wengine wa Chama wapo na hawachukui hatua kwa sababu wanaofanya makosa hayo ni Wanachama wenzao(KULINDANA)
Anyway, ngoja iendelee kunyesha tujue panapovuja ili 2024/2025 tufanye Mapinduzi ya Kihistoria.