[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee kibamia ni janga la taifa
Unatumia nn kufikiri mkuu nna waswas na akilikumkichwa yakoIla ukitaka kumaliza mzizi wa fitna kwa Mrembo au Mwanamke yoyote yule unayeona ni TEAM MASHAUZI Wewe ukiwa nae tu katika 6 X 6 hakikisha unagonga " banda la Uani " hapo utakuwa umemaliza Kazi. Halafu Mwanaume gani huyo Mjanja za zama hizi ambaye akiwa tu na Demu wake hapigi hodi " Bandani " ili Kuku " Watage " mayai? Nyie Vijana wa Siku hizi " mnanikera " sana na ndiyo maana hawa Wasichana Warembo wanawadhalilisha hivi kama alivyofanyiwa " Mnyama " TID.
Mjomba tofautisha kati ya mateja wa mtaani ambao hawali chakula,maisha mabovu halafu wanapiga unga wa mwisho KBSHivi mla " Ngada " huwa hata na nguvu ya kukunja ngumi Mkuu?
Mkuu samahan sikuangalia jina lako before mpk nikawa na waswas na ufikir wako kumbe ni buku 7 member nilishajua akili yako inawazajeIla ukitaka kumaliza mzizi wa fitna kwa Mrembo au Mwanamke yoyote yule unayeona ni TEAM MASHAUZI Wewe ukiwa nae tu katika 6 X 6 hakikisha unagonga " banda la Uani " hapo utakuwa umemaliza Kazi. Halafu Mwanaume gani huyo Mjanja za zama hizi ambaye akiwa tu na Demu wake hapigi hodi " Bandani " ili Kuku " Watage " mayai? Nyie Vijana wa Siku hizi " mnanikera " sana na ndiyo maana hawa Wasichana Warembo wanawadhalilisha hivi kama alivyofanyiwa " Mnyama " TID.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani hapa jukwaani nilichogundua ni team mbili, i.e Team Kibamia na Team Above 8",na kingine kikubwa nilichokigundua mleta mada ni Team Kibamia, ndio maana anahimiza banda la uani, maana kule hata kidole kinasikika.
Yap TID. Alibugi sana real gents huwez kujisifu mambo ya kijinga kwa media mwachee aimbiwe taarab ili na wanaume wengine wasio na nidhamu wajifunze kitu...TID had no business talking about long gone affairs publicly like that! He had that coming... nilivyosikia tu remarks zake kwa Wema nikajua time bomb is already set and ticking! Karma is a Bitch. Unashindanaje na mwanamke kuongea? really? Mwanaume unayejiheshimu unafanya kila linalowezekana kuepuka maneno na ma x! sio kuwachimba chimba.. he shud've known better
Basi ndio imekula kwakeSamtaimu wanawake wanafiki.........mkikorofishana wanaongea shombo tu
May be sio kweli kwamba TID ni kiba100 na hajui mambo bali wana bifu binafsi tu na TID hawezi kutuonesha dudu ili aprove yy siyo kiba100 na hajui mambo
Kwani wema kwake kukazwa ni aibu?Inawezekana pia Wema ameyasema hayo ili kuficha aibu ya kutangazwa kuwa amekazwa na TID.
haya anasema kwa kuuwa so.... juzi nimeona naimba mambo ya kumla wema .............upekepeke umemponza huyu mwanaume kila mwanaume unamfunulia ona sasaHuku tukiwa kila siku tunawahimiza Vijana kuwa mnapopata bahati ya kuanzisha Mahusiano na hawa Mabinti " Mastaa " wa Kibongo basi hakikisheni " mnawabandua " ipasavyo ili kuleta Heshima huwa mnaona sisi Kaka zenu " tunazoza " tu.
Katika hali isiyo ya kawaida kabisa na ambayo kila Mtu imemsikitisha hata sisi Wanaume aliyekuwa " Mnyange " wa Tanzania ( Mrembo ) Mwanadada Maarufu na anayetikisa nchini Wema Sepetu ameamua " kufunga " kinoma noma bila kupepesa, kutikisa wala kumung'unya kwa kusema kuwa katika Wanaume wote ambao amewahi " kubanduana " nao hakuna Mwanaume " aliyemboa " na ambaye hajui " kubandua " kama Msanii wa Muziki TID a.k.a Mnyama na kwamba ana " Kibamia ".
Mwanadada huyu Wema Sepetu alienda mbali na kusema kuwa amefanya Mapenzi na Wanaume kadhaa ila hadi hivi leo ( jana ) ni Wanaume wawili tu ambao amesema walimkuna na akakunika ipasavyo kama Marehemu Steven Kanumba na Mwanamuziki Maarufu Nasib Abdul a.k.a Diamond na kwamba hata kama Marehemu Kanumba angekuwa hai halafu hajaolewa nae na yeye kaoelewa na mwengine yeye angekuwa anafanya kila awezalo na hata kumtoroka " Mumewe " kwenda " kubanduliwa " na Kanumba. Wema akasema pia kuwa hata sasa anatamani mno " kubanduana " na Diamond ila " itifaki " tu ya Ratiba ya Diamond inamtatiza.
Hii aibu iliyomkumba TID naomba iwe fundisho kwa Vijana wa leo " Masharobalo " ambao huwa " mnashoboka " kwa hawa Wadada halafu hamjui " kuwakuna " kwani hii dharau au kashfa aliyopewa TID hakika imetuathiri Wanaume wote. Kila siku huwa nawaambieni mnapokuwa na hawa Wadada hasa Wasanii wenye " nyodo " jitahidini pia muwe mnapita na " mlango wao wa Uani " ili kuleta Heshima huwa hamtaki. Hivi mnadhani TID angegonga hodi " banda la Uani " la Wema Sepetu leo huyu Dada " angemdhalilisha " hivi " Mnyama? ".
Pole sana TID ila ukome " kuparamia " Wanawake usiowaweza!
Source: Gazeti la Mikasa la 21/9/2016 pata nakala yako ili " tusichoshane ".
kukazwa na tid lazima uone aibu...Kwani wema kwake kukazwa ni aibu?