Abuu Said
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 4,010
- 4,763
Sio kila anaekula Ngada analegea wengine wanafuata kanuni wale wanaolegea hawali vizuriHivi mla " Ngada " huwa hata na nguvu ya kukunja ngumi Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila anaekula Ngada analegea wengine wanafuata kanuni wale wanaolegea hawali vizuriHivi mla " Ngada " huwa hata na nguvu ya kukunja ngumi Mkuu?
Hujaona vid anakata mauno NA kuimbaSource ya habari siyamini kabisa
Sasa alisema kuwa kamkaza Ili iweje?Video: Msanii TID Ajisifu Kumkaza Wema Sepetu Akiwa Jukwaani..Mashabiki Nusura Wazire
Katika usiku wa RnB ulioandaliwa na the Bridge show ya mlimani TV, line up ya wasanii kadhaa iliperform lakini mnyama TID ambaye amekwisha kutajwa kama moja ya mastaa waliowahi kudate na Wema Sepetu alisuprise sana watu kwa kitende cha kujisifu jukwani kwamba amewahi kumkaza msanii wa bongo movie Wema sepetu kitendo ambacho kilifanya baadhi ya mashabiki kujisikia vibaya na kuanza kumzomea
Tena ameimba NA kukata mauno ya jinsi alivyokandamiza [emoji15] [emoji15] ngada NA kusaka kiki[emoji15]Sasa alisema kuwa kamkaza Ili iweje?
Sifa za kishamba
Umeunga mkono hojaUnaweza kuwa na bamia lakini unajua kukaza
Huo ni udaku una nafasi yakeHayo magazaeti sijui kwa nini Nape anayaachalia, hayo ndio yalipaswa kuwa ya kwanza kufungiwa.
Vv
Cjui labda ngoja niwaulze mademu ambao nmeshawakaza,lakin wote huwa wana_appreciate mchezoUmeunga mkono hoja
Nmiongon nn
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]TID atampiga huyu demu akikutana naye, jamaa mkorofi sana akishakula ma unga yake
nimeona Ila wema kajibu wapHujaona vid anakata mauno NA kuimba
Mleta uzi anajua
Unajiteteaeeee????Unaweza kuwa na bamia lakini unajua kukaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mleta uzi anajua