MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Haka kaugonjwa hata mimi nilikua nimeanza kuwaiga Watanznia na kulegeza, ila hizi taarifa zimenikurupusha.
Huu sio wakati wa kubeza juhudi za tahadhari dhidi ya corona, hiki kirusi kilimlaza waziri mkuu wa Uingereza sembuse maskini wa Afrika, japo hatujajua nini kimemsibu rais wa Burundi ila mkewe yuko huku Nairobi tunamtibu corona, nafuu yake kawa mjanja na kuwahi Nairobi mapema, inapaswa ifahamike ndani ya familia, mtu mmoja akiumwa corona inabidi wote wengine watiwe karantini na sio kukaidi.
Watu mkijichokea na kuanza ukaidi tutakua na tanzia mpaka tutakoma Afrika hii, mara mawaziri mara wabunge. Nafuu yetu Kenya rais anaskliza na kufuata ushauri wa wanasayansi, hakurupuki na matamko yasiyo na mantiki yoyote.
Kuna hizi taarifa zinasema alikua amelazwa anaumwa corona Outgoing President Pierre Nkurunziza Hospitalised Over #COVID-19
====
Breaking News: - Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza
Reports indicate that he died at the Karusi Fiftieth Anniversary Hospital following a cardiac arrest on June 8, 2020.
Huu sio wakati wa kubeza juhudi za tahadhari dhidi ya corona, hiki kirusi kilimlaza waziri mkuu wa Uingereza sembuse maskini wa Afrika, japo hatujajua nini kimemsibu rais wa Burundi ila mkewe yuko huku Nairobi tunamtibu corona, nafuu yake kawa mjanja na kuwahi Nairobi mapema, inapaswa ifahamike ndani ya familia, mtu mmoja akiumwa corona inabidi wote wengine watiwe karantini na sio kukaidi.
Watu mkijichokea na kuanza ukaidi tutakua na tanzia mpaka tutakoma Afrika hii, mara mawaziri mara wabunge. Nafuu yetu Kenya rais anaskliza na kufuata ushauri wa wanasayansi, hakurupuki na matamko yasiyo na mantiki yoyote.
Kuna hizi taarifa zinasema alikua amelazwa anaumwa corona Outgoing President Pierre Nkurunziza Hospitalised Over #COVID-19
====
Breaking News: - Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza
Reports indicate that he died at the Karusi Fiftieth Anniversary Hospital following a cardiac arrest on June 8, 2020.