Poleni Burundi kwa kumpoteza Rais, japo alikuwa mkaidi kwa Corona ila tu basi

Poleni Burundi kwa kumpoteza Rais, japo alikuwa mkaidi kwa Corona ila tu basi

Wapiga debe wa vijimafua vya corona mmepata kiki ya kusambazia taharuki sasa
 
Sasa mbona mnalia lia. Yaani kupiga mpige nyie kulia mlie nyie
Tuko macho dhidi ya majirani.Eti kwasababu Jemba katangaza hamna Corona wanataka kuingia nchini bila vyeti
 
MK254,

Nakwambia corona ime aibisha nchi nyingi sana, ukijifanya mjuaji, unaonyeshwa na corona kumbe haujui kitu,
ukijifanya sijui ulikua na mahospitali kali kali, unaonyeshwa kumbe haukua na kitu, ukijifanya sijui nchi yako ina uwezo wa kupambana na janga lolote, corona inakwambia rudi darasani ukaanze upya. Ukijifanya mlikua na uwezo mkubwa wa kuitafiti.

Alafu kuna hili gora lengine la wakaidi wanajifanya wao pekee ndo Mungu anaskiza maombi yao, corona sasa imewaonesha hata Mungu mwenyewe kupitia Bibilia amesema mara nyengine ili yeye akusaidie, ni lazima ujaribu kujisaidia mwenyewe alafu ndo uombe Mungu abariki juhudi zako.. Kwa mfano, kama we ni msomi, basi tia bidii usome alafu ndo uombe Mungu ufanyikiwe kwa mtihani au katika utendakazi wako, Si kuketi chini na kutarajia Mungu atende miujiza wakati we mwenyewe una uwezo wa kujisaidia.

---------
Proverbs 21:31 - The horse is made ready for the day of battle, but victory rests with the Lord.

Na kumbe hata Quran inamaandishi kama hayo.

Indeed Allah will not change the conditions of a population until they change what is in themselves. Qur'an 13:11
 
Hapo kunaweza kuwa na kitu nyuma ya pazia tukumbuke alitimua WHO Burundi pia serikali ya Kenya inachuki na nchi zisizo weka watu zuio.

Nahisi kuna mkono wa mkenya na beberu juu ya kifo chake,pia inaonyesha ujinga Wa kwenda Kenya kutibiwa wakati Kenya hakuna mbinu za kujifukiza.

Swali jingine je kafa kwa korona au ni mshituko wa moyo wa kawaida tu umempata licha ya kuwa na korona MK254
 
Hapo kunaweza kuwa na kitu nyuma ya pazia tukumbuke alitimua WHO Burundi pia serikali ya Kenya inachuki na nchi zisizo weka watu zuio.

Nahisi kuna mkono wa mkenya na beberu juu ya kifo chake,pia inaonyesha ujinga Wa kwenda Kenya kutibiwa wakati Kenya hakuna mbinu za kujifukiza.

Swali jingine je kafa kwa korona au ni mshituko wa moyo wa kawaida tu umempata licha ya kuwa na korona
Ati Kenya ilimuua. Eti hakujifukiza. Wewe ulizaliwa na shetani. You're very ignorant corona inapiga pressups tulia.
 
Back
Top Bottom