JOSE KASANO
Senior Member
- Apr 23, 2013
- 122
- 95
Nikiwa miongoni mwa walimu wapya katka safari za kwenda kuripoti kwa wakurugenzi,nimekumbana na kikwazo cha usafiri. Basi la OSAKA kutoka DAR-BUKOBA ni majanga kwani wanapima hadi majaketi abiria alovaa, kila kamfuko na kujumlsha kilo ili kulipia.