Kanali mwime
Member
- May 5, 2018
- 71
- 171
Habali zenu wakuu poleni na kupotezana kwa mda asanteni JF mmeturejeshea huduma.
Kwanza kabisa wakuu natoa pongezi na kumshukuru Mungu nipo hapa Johannesburg mwezi na siku kadhaa nilipata kazi kwenye kampuni ya ulinzi lakini bado naangalia mikakati mingne zaidi.
Asanteni Wakuu kwa kunitia moyo hapa nilipo napata unafuu kwa kweli tofaut na pale magomeni mapipa mtaa WA kionga nilivokua nataabika na bodaboda kijiweni pale Kilimanjaro JIRANI na DTB, nasema asanteni wakuu,
Kiukweli hapa jorberg ukija kwa nia ya kupambana unafanikiwa usije kimakundi Mimi ni Msukuma kwetu kahama lakini nipo huku paspo hata kua na ndugu nimejilipua kuja kutafta maisha bora, maana mkulu alisema watanzania tutaishi Kama mashetani nikaona bora nije nifie ugenini kuliko kishi Kama shetani ktk nchi niliyozaliwa, ahsanteni wakuu
Kwanza kabisa wakuu natoa pongezi na kumshukuru Mungu nipo hapa Johannesburg mwezi na siku kadhaa nilipata kazi kwenye kampuni ya ulinzi lakini bado naangalia mikakati mingne zaidi.
Asanteni Wakuu kwa kunitia moyo hapa nilipo napata unafuu kwa kweli tofaut na pale magomeni mapipa mtaa WA kionga nilivokua nataabika na bodaboda kijiweni pale Kilimanjaro JIRANI na DTB, nasema asanteni wakuu,
Kiukweli hapa jorberg ukija kwa nia ya kupambana unafanikiwa usije kimakundi Mimi ni Msukuma kwetu kahama lakini nipo huku paspo hata kua na ndugu nimejilipua kuja kutafta maisha bora, maana mkulu alisema watanzania tutaishi Kama mashetani nikaona bora nije nifie ugenini kuliko kishi Kama shetani ktk nchi niliyozaliwa, ahsanteni wakuu