Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni vyema sana kuishi na wema moyoni maana moyo usio na wema hukausha rehema na Neema zote.Mkuu watanzania kama wewe wapo wachache sana. Salute sana mkuu kwa wema na link uliyompa jamaa
Mkuu ni vyema sana kuishi na wema moyoni maana moyo usio na wema hukausha rehema na Neema zote.
Shukrani kwa compliment mkuu.
Atakuwa ni shombe shombe wa kihaya na kisukuma.huyu msukuma mbona ana tabia kama za wahaya?
nipe na mm link weweMkuu ni vyema sana kuishi na wema moyoni maana moyo usio na wema hukausha rehema na Neema zote.
Shukrani kwa compliment mkuu.
We bwege kwa akili yako inavyoscratch siwezi kukupa link na watu ninaoeshimiana nao....maana ukawii kuomba kazi ya kumchekesha bosi tu...Ukaniadhiri....Ahahaha...!nipe na mm link wewe
asante kwa haya matusi !! ila asantr mkuuWe bwege kwa akili yako inavyoscratch siwezi kukupa link na watu ninaoeshimiana nao....maana ukawii kuomba kazi ya kumchekesha bosi tu...Ukaniadhiri....Ahahaha...!
Baba swalehe ni mwehu sana wewe.
Mkuu hii ni ishara ya ushkaji uliotukuka kukupakia matusi yasio na ban. There's no any offence intended...asante kwa haya matusi !! ila asantr mkuu
kitu kingne us mdharau usyemjuaWe bwege kwa akili yako inavyoscratch siwezi kukupa link na watu ninaoeshimiana nao....maana ukawii kuomba kazi ya kumchekesha bosi tu...Ukaniadhiri....Ahahaha...!
Baba swalehe ni mwehu sana wewe.
Huwa sina dharau maana pia huwa sipendi dharau na sikujua kama huko serious...nilidhani labda umekuja kiutani kama siku zote...matter of fact..kama ungekuwa serious haya mambo watu wanadumbukiaga inbox unless utaendelea kuwa utani tu.kitu kingne us mdharau usyemjua
asubuh njema mkuu hahahaHuwa sina dharau maana pia huwa sipendi dharau na sikujua kama huko serious...nilidhani labda umekuja kiutani kama siku zote...matter of fact..kama ungekuwa serious haya mambo watu wanadumbukiaga inbox unless utaendelea kuwa utani tu.
But pole kama nimekukwaza mkuu! Dhumuni lilikuwa to have some funny.
Uwe na jioni murua.
Yaani wewe jamaa bangi za kwenye jua Kali huwa zinakupelekaga lesi sana. Ahahaha!!asubuh njema mkuu hahaha
Ndoho tabhu mami nakwiza' ngosha wize ozenge kokaya !'
Dah big up MKUU..una UTU.Principle ya kufanikiwa kwa kila binadamu ni ndogo sana "just step out of your comfort zone" amua kwanza kuondoka sehemu inayokufanya uwe comfortable na kubweteka.
Basically, ukitaka kufanikiwa zaidi lazma ujifunze kuamka asubuhi na kukiachia kitanda kinachokufanya uwe comfortable zaidi ndio mafanikio yataanza kunusa kwako.
Lazma ujifunze kutembea kwenye umande asubuhi na mapema na kuiacha comfort zone ya kusubiri umande ukauke.
Pia lazma ujue muda sahihi wa kuiachia comfort zone ya kuishi kwa raha nyumbani kwenu kwa wazazi au nchini kwenu, uende sehemu tofauti ambapo hautakuwa comfortable kihivyo hii itakusaidia Ku adjust na mazingira mapya na hata hasira ya utafutaji inafugwa hivi hivi.
Ije mvua, ije jua...endelea kukaza kijana huko ugenini. Kwa maisha haya ni wabishi pekee wa Kariba yako ndio watadumu.
I hope ulimtafuta yule mtasha mlinzi niliekupaga namba yake?