Unatonesha vidonda vya watu wewe.Nmekukumbuka LIBOLO FC ya Angola [emoji1029] ilivowafanya
Hawa jamaa wanajifari sana, ila game sio rahisi kabisa.Unatonesha vidonda vya watu wewe.
Dharau zinawaponza sana. Wanaamini wana kikosi kizuri sana. Nkana imewaonyesha sio kweliHawa jamaa wanajifari sana, ila game sio rahisi kabisa.
Libolo fc iliwafanyaje??Simba ndio timu pekee Tanzania ambayo huwa haitii aibu wanapokuwa uwanja wa nyumbani kwenye michuano ya kimataifa.
Natamani sana Magu ingeipa Simba hadhi ya kuwa timu ya taifa,, teh
Ukiitaja LIBOLO FC, hutawaona tena maana wana short and selective memory!Libolo fc iliwafanyaje??
Libolo de sportivo hawa waangola waliwapiga mikia za kutoshaUkiitaja LIBOLO FC, hutawaona tena maana wana short and selective memory!
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Libolo de sportivo hawa waangola waliwapiga mikia za kutosha
Simba ikipenya nahisi utakunywa sumuUkiitaja LIBOLO FC, hutawaona tena maana wana short and selective memory!
Ili iweje? Nani hajawahi kucheza kwenye makundi? Litakuwa jambo jipya Tanzania?Simba ikipenya nahisi utakunywa sumu
Week mbili zijazo watarudi TPL kusuka au kunyoa kwenye viporo. Vingapi vitachacha?Ukweli mchungu..mikia wakifuzu makundi Yanga atakuwa bingwa mwezi wa tatu..maana concentration yao itakuwa CAF
Mkuu, kule siasani tuko pamoja, huku mpirani, story nyingine kabisa.Simba ikipenya nahisi utakunywa sumu