SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kupitia mitandao yao ya kijamii, Yanga imetangaza kwamba wamepata misiba miwili ya mchezaji wake mmoja na kocha wao kupoteza wazazi wao.
Katika kumbukumbu zangu za haraka, hii ni baadhi ya misiba iliyowakumba wachezaji na watendaji wa Yanga katika miaka hii 3 iliyopita:
Mwamnyeto - Mke na Mtoto - 01/2021
Metacha - Mtoto - 04/2021
Kibodya (Mjumbe) - Mwenyewe - 05/2021
Diarra - Baba - 08/2021
Gharib - Baba - 2022
Sure Boy - Mtoto - 03/2023
Doumbia - Baba - 04/2023
Kamwe - Mtoto - 10/2023
Mtime - Baba - 11/2023
Kibabage - Baba - 09/2024
Edna (Kocha) - Baba - 09/2024
Mateleke (Mpishi) - Mwenyewe - 11/2024
Chadrack Boka - Baba - 01/2025
Alaa Meskini (Kocha wa Magolikipa) - Baba - 01/2025
Hakika kifo ni fumbo kubwa sana.
Katika kumbukumbu zangu za haraka, hii ni baadhi ya misiba iliyowakumba wachezaji na watendaji wa Yanga katika miaka hii 3 iliyopita:
Mwamnyeto - Mke na Mtoto - 01/2021
Metacha - Mtoto - 04/2021
Kibodya (Mjumbe) - Mwenyewe - 05/2021
Diarra - Baba - 08/2021
Gharib - Baba - 2022
Sure Boy - Mtoto - 03/2023
Doumbia - Baba - 04/2023
Kamwe - Mtoto - 10/2023
Mtime - Baba - 11/2023
Kibabage - Baba - 09/2024
Edna (Kocha) - Baba - 09/2024
Mateleke (Mpishi) - Mwenyewe - 11/2024
Chadrack Boka - Baba - 01/2025
Alaa Meskini (Kocha wa Magolikipa) - Baba - 01/2025
Hakika kifo ni fumbo kubwa sana.