Poleni Wanayanga kwa misiba ilijitokeza kwa ndugu wa wachezaji na viongozi

Poleni Wanayanga kwa misiba ilijitokeza kwa ndugu wa wachezaji na viongozi

Kifo ni ahadi kwetu, hakuna atayesalia hivyo hakifai kudhihakiwa kwa kauli hizi.
 
Update:

Mpishi wa Yanga amefariki dunia.

1000019552.jpg
 
Kupitia mitandao yao ya kijamii, Yanga imetangaza kwamba wamepata misiba miwili ya mchezaji wake mmoja na kocha wao kupoteza wazazi wao.

Katika kumbukumbu zangu za haraka, hii ni baadhi ya misiba iliyowakumba wachezaji na watendaji wa Yanga katika miaka hii 3 iliyopita:

Mwamnyeto - Mke na Mtoto - 01/2021
Metacha - Mtoto - 04/2021
Kibodya (Mjumbe) - Mwenyewe - 05/2021
Diarra - Baba - 08/2021
Gharib - Baba - 2022
Sure Boy - Mtoto - 03/2023
Doumbia - Baba - 04/2023
Kamwe - Mtoto - 10/2023
Mtime - Baba - 11/2023
Kibabage - Baba - 09/2024
Edna (Kocha) - Baba - 09/2024
Mateleke (Mpishi) - Mwenyewe - 11/2024

Hakika kifo ni fumbo kubwa sana.
Aisee!
 
Update:

Baba yake Chadrack Boka amefariki 11/01/2025.

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi.

1000041755.jpg
 
Unaleta dhihaka hadi kwenye msiba
Kuwa na utu mkuu
Huu ni mchezo
Usiwe na ushabiki wa kipumbavu
Pokea taarifa bwashee, mengine ukiamua kujiongeza ni wewe usinihusishe mimi kwa kitu kilichopo kichwani mwako.
 
Nilidhani story za kutoa kafara ndugu zao ili calculator ipate moto na kuweza kujumlisha hesabu za chekechea.

Wapunzike Kwa Amani.
 
Pokea taarifa bwashee, mengine ukiamua kujiongeza ni wewe usinihusishe mimi kwa kitu kilichopo kichwani mwako.
Kuna haja Gani kuweka orodha ya misiba ya wafanyakazi wa Yanga
Mbona hujaweka orodha ya misiba ya familia yako?
Kama misiba ni mizuri na wewe uwe unafiwa
 
Kuna haja Gani kuweka orodha ya misiba ya wafanyakazi wa Yanga
Mbona hujaweka orodha ya misiba ya familia yako?
Kama misiba ni mizuri na wewe uwe unafiwa
Mbona kama umepanick? Pokea taarifa, kama una rambirambi fikisha kwa wahusika. Wasiliana na tawi lako la karibu utapewa utaratibu.
 
Mbona kama umepanick? Pokea taarifa, kama una rambirambi fikisha kwa wahusika. Wasiliana na tawi lako la karibu utapewa utaratibu.
Kuwa na hekima mkuu
Huu ushabiki usikutoe utu kufurahia kufiwa Kwa wenzako
 
malizia kuwa, kufanya kazi YANGA AFIRIKA ni mkosi/nux, kwamba wanatoana kafara wao kwa wao.
 
UPDATE:

Baba yake kocha wa Magolikipa amefariki dunia. Poleni sana ndugu zangu wa Yanga kwa msiba mwingine mzito.

1000046441.jpg
 
Back
Top Bottom