wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Naomba tuheshimiane we bwege. Mimi sio Polepole. Na hata ukimtukana na kumkashifu kichapo mmekipata.Hahah sawa kibabu nafikiri saiz kisura chako km kiajuza kitabadirika na utanenepa...
Dhambi inachukua muda kuizoea, mpaka atakapoizoea ndio atarudi kwenye muonekano wake halisi.Mpe mwezi mmoja halafu uje hapa kutuambia kati ya yeye na Mbowe nani kapungua
Mnafukuza mawakala vituoni kwa marungu, jinga sana nyie.Unataka kusema Nec,Tiss,Jwtz na Polisi waliwashika mikono wananchi ili waichague Ccm?
Ahaaaa,mwaka huu cha moto kiwaingia. Mtatukana sana.Mumeo nini, mbona umekuwa mkali?!
Basi sorry.
Kupungua mwili labda ruti za kampeniNimekaona kamepungua mwili, uso umejikunja, aibu za wizi wa kura waliofanya sasa nafsi zao zinawasuta.
Ingekuwa imejifia CCM msingehangaika kuubaka kuulawiti kuunajisi uchaguzi huu na wala msingekuwa mnawabambikia kesi kuwapiga risasi kuwafanyia kila unyamaChadema ulishajifia zamani kumsingizia polepole ni chuki binafsi.
Nasfi unamsuta kwa ushetani wake wa kuunajisi kuubaka kuulawiti uchaguzi huuKupungua mwili labda ruti za kampeni
Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM labda zezeta tu, kilichofanyika ni CCM kupewa uteuzi kusaidiwa kuipora haki ya wapiga kura na NEC , Wakurugenzi na PolisiUnataka kusema NEC, TISS, JWTZ na Polisi waliwashika mikono wananchi ili waichague CCM?
Polepole alipogundua mtukufu magufuli anauchukia upinzani ilibidi aunde abuni mbinu za kupiga pesa kutumia fursa hizo, ndipo akaja na mbinu za kuwanunua wabunge madiwani kurudia chaguzi, akapiga pesa ndefu hapo, na baadae akabuni mradi wa kurejesha mfumo wa chama kimoja akatengeneza bajeti kubwa akapewa pesa nyingi mno na huko kapiga sana, CCM inaonekana ya uonevu lakini mnufaika wa ubaya huo ni polepole kwani hujinufaidha kupitia miradi ya kuidhoofisha chadema na kuua upinzaniHivi huyu pole pole si yy alikuwa anayasema haya zamani? nikimwangalia pole pole wa zamani na wasasa ni vitu2 tofauti kabisa, madaraka haya kwakweli ni zaidi ya ulevi mwingine wowote dunuani hasa afrika.
Mungu yupo iko siku yatamrudi tu haya hata kwa familia yake wali maana walioumia na hili ni wengi sana kuliko wanavyo fikiria, Mungu alisema katika vitabu vitakatifu atakisikia kilio cha uma wake.Polepole alipogundua mtukufu magufuli anauchukia upinzani ilibidi aunde abuni mbinu za kupiga pesa kutumia fursa hizo, ndipo akaja na mbinu za kuwanunua wabunge madiwani kurudia chaguzi, akapiga pesa ndefu hapo, na baadae akabuni mradi wa kurejesha mfumo wa chama kimoja akatengeneza bajeti kubwa akapewa pesa nyingi mno na huko kapiga sana, CCM inaonekana ya uonevu lakini mnufaika wa ubaya huo ni polepole kwani hujinufaidha kupitia miradi ya kuidhoofisha chadema na kuua upinzani
Umekaririshwa upuuzi. Watanzania wanaona sekta ya afya,elimu ,miundo mbinu, ulinzi na usalama vilivyoimarishwa. Na ndio maana wameipa kura Ccm. Wananchi wamechagua maendeleo.Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM labda zezeta tu, kilichofanyika ni CCM kupewa uteuzi kusaidiwa kuipora haki ya wapiga kura na NECCCM Tumeccm, wakurugenziccm na Polisiccm
Mfa maji haachi kutapatapa,msalimie tindoIngekuwa imejifia CCM msingehangaika kuubaka kuulawiti kuunajisi uchaguzi huu na wala msingekuwa mnawabambikia kesi kuwapiga risasi kuwafanyia kila unyama
Mmmmh,hebu tusubiri maana nahisi kuna mengi yanakujaNasfi unamsuta kwa ushetani wake wa kuunajisi kuubaka kuulawiti uchaguzi huu