wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Hivi huyu Polepole si yeye alikuwa anayasema haya zamani? nikimwangalia Polepole wa zamani na wasasa ni vitu 2 tofauti kabisa, madaraka haya kwakweli ni zaidi ya ulevi mwingine wowote dunuani hasa Afrika.