Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la lumumba ni vilaza. Hoja ya Lissu sio kiasi gani kilipitishwa na Bunge, hoja yake ni kiasi gani kimelipwa kwa kila ndege???baada ya makamanda kuonyeshwa "dokumenti" za bunge zinazohusu kupitishwa kwa bajeti za ujenzi wa Chato international airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere nk sasa mmeamia kwenye "hela mfukoni" hahaha
Shika adabu yakoTatizo lako umtoto sisi tunao kutafutia kula ndio tunajua ugumu wa maisha.
Wapi hata ya Paymaster General limeachwaHivi amezungumzia zile hekali 20 K kule Karagwe .......!!
kazi yoyote ukiifanya kwa uaminifu,kujituma,na uelediInaonekana madalali wa magari awamu hii mnapiga pesa sana.
Safi sana.
Mkuu acha kujitoa ufahamu kwa jina la "siasa"...mbona bei ya fungu la muhogo haishuki bei na uhitaji umekuwa mkubwa hasa baabda ya wanaume kuanza kuitafuna kama dozi ya 2 X 3?Sasa hizo ducoment zinamsaidia nini mama muuza mihogo au muuza ndizi ambae biashara imekuwa ngumu. Tumia akili we bwege.
Anauza meno tu anajifanya comedyUnazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake...
mbona unazid kuaibisha chama nduguTatizo la lumumba ni vilaza. Hoja ya Lissu sio kiasi gani kilipitishwa na Bunge, hoja yake ni kiasi gani kimelipwa kwa kila ndege???
Bunge kupitisha bilioni 400 kununulia ndege haimaanishi hela yote imeenda kutumika kununulia ndege. Inawezekana wametumia bilioni 200 tu kununua ndege na nyingine wakaweka mfukoni...
baada ya makamanda kuonyeshwa "dokumenti" za bunge zinazohusu kupitishwa kwa bajeti za ujenzi wa Chato international airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere nk sasa mmeamia kwenye "hela mfukoni" hahaha
Embu ziweke haoa hizo documentsbaada ya makamanda kuonyeshwa "dokumenti" za bunge zinazohusu kupitishwa kwa bajeti za ujenzi wa Chato international airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere nk sasa mmeamia kwenye "hela mfukoni" hahaha
Aiseee,sikujua hilo.kazi yoyote ukiifanya kwa uaminifu,kujituma,na ueledi
lazima ufanikiwe
Unaamini kampuni kubwa kama Boeing inaweza kuchafua jina lake kwa odree ya tundege tuchache inayotuuzia nchi ya Uchumi wa kati kama Tanzania! Hebu jiulize swali hili kwa mara nyingine...unakumbuka kashfa ya rada ya akina Chenge ilivyoharibu image ya kampuni ile?Tatizo la lumumba ni vilaza. Hoja ya Lissu sio kiasi gani kilipitishwa na Bunge, hoja yake ni kiasi gani kimelipwa kwa kila ndege???
Bunge kupitisha bilioni 400 kununulia ndege haimaanishi hela yote imeenda kutumika kununulia ndege. Inawezekana wametumia bilioni 200 tu kununua ndege na nyingine wakaweka mfukoni.
Majibu kwa hoja za Lissu ni kuwa CCM waoneshe bank transactions kutoka serikali ya Tanzania kwenda Boeing na Bombardier kuonesha walilipa shilingi ngapi kwa kila ndege not otherwise.
Bado CCM hamjajibu hoja za Lissu!! Mnaweweseka tu 😂😂😂😂😂😂
Tuwekee proof ya malipo hapa!! Mlilipia shilingi ngapi kwa kila ndege. Tena bank transaction au pay in slip kabisambona unazid kuaibisha chama ndugu
yani mpka leo hujui kila ndege imenunuljwa sh ngapi wakati vitu vyote vipo wazi kabisa
Ungekuwa unaishi uswahilini alafu mama yako anauza mihogo au vitumbua usingejibu upuuzi kama huu.Huenda huko ufaransa unakokusema huenda kukawa na maisha magumu kushinda hapa unapopaita kuna maisha magumu
pesa imesinyaa lakini siyo kwa kiasi tunachoaminishwa,fedha ipo na watu wanatumia fedha,na hata hela iliyotumika yote ipo kwenye miradi mikubwa ambayo mingi ishaaanza kurudisha fedha na mingine soon itaanza kutoa fedha katika kipindi kifupi kama Air tanzania,stiglor gorge n.k
Nipo na upload video ya press conference ya Jemedari Polepole...subiri!Embu ziweke haoa hizo documents
Acha maneno wekeni proof ya bank transactions tulinganishe na kiasi mlichopitisha bungeniUnaamini kampuni kubwa kama Boeing inaweza kuchafua jina lake kwa odree ya tundege tuchache inayotuuzia nchi ya Uchumi wa kati kama Tanzania! Hebu jiulize swali hili kwa mara nyingine...unakumbuka kashfa ya rada ya akina Chenge ilivyoharibu image ya kampuni ile?
Imekuwa ndio chakula cha kusaidia familia,ila Prof Janabi kasema mjiandae kufa kwa presha na magonjwa ya moyo.Mkuu acha kujitoa ufahamu kwa jina la "siasa"...mbona bei ya fungu la muhogo haishuki bei na uhitaji umekuwa mkubwa hasa baabda ya wanaume kuanza kuitafuna kama dozi ya 2 X 3?
lijue leo huku ukiwa vijiweni unasubiria maisha yawe mepesiAiseee,sikujua hilo.
Acha ujinga.Biashara gani zimefungwa?SI ukute unazungumzia biashara za gongo na kutakatisha fedha